afsa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 1,983
- 1,574
Huwa nahisi kitu nikisikia midege mikubwa iendayo kwa kasi kirandaranda huku na kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaam tutafanya hivyo.
Toa proof kama wewe ni mkristu. Acha kudanganya watu hapa heri FaizaFoxy husema ukweli yeye ni myemeni kuliko wewe unayedanganya kwa kivuli cha AnnonMimi ni mkristo, sijui Kwanini marais waislamu wanakuwa wazuri na wakristo wanakuwa makatili Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye Mwl. aliwahi kusema kuwa asingeweza kupinduliwa na kwamaba ni wendawazimu tu wanaoweza kujaribu kumuua au kufanya mapinduzi. Hiyo lugha ya mtaani iko mbali na mimi.Kuna mtu juu hapo kasema Nyerere alikoswakoswa mara 8, hao uliowataja walimkosa mara ngapi na lilikuwa tukio la ngapi kati ya manane?
Una ushahidi wowote kuwa walikuwa wendawazimu? Au unatumia lugha ya mitaani tu kama vile "kichaa wangu"?
Aah kumbe unamnukuu yeye Marehemu Mzee Nyerere? Vipi wewe unadhani walikuwa wendawazimu kweli?Yeye Mwl. aliwahi kusema kuwa asingeweza kupinduliwa na kwamaba ni wendawazimu tu wanaoweza kujaribu kumuua au kufanya mapinduzi. Hiyo lugha ya mtaani iko mbali na mimi.
Mama wengine wamelewa wanachangia uzi wakiwa wamelewa usiwajibuMakubwa! Madogo yana wenyewe.
Hivi nikae haswa nasikiliza video za wachungaji? Duh! Hii ya mwaka.
Utabiri ni haramu na sitojaribu hata siku moja. Yangu mwenyewe siyafahamu ntaanza kutabiri? Hivi kuna utabiri wowote kwenye huu uzi wangu? Hebu Nioneshe huo utabiri uko wapi?