hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,911
Nikipiga hesabu wakati mwingine unakuta katika wiki siku mbili ndio nimefanya kazi siku zote nimeshinda misibani na nikipiga hesabu wakati mwingine sisi watu wa mjini ndio tunahangaika sana na misiba na tunapoteza pesa nyingi sana unakuta sometime mnasafiri kwenda mbali sana kuzika na mnapita katika mazingira magumu na usafiri washida mnaning'inia kwenye mafuso na sometime unakuta hata sio ndugu ila mlikua mnafahamiana au mlikua mnakaa nae mtaa mmoja.
Na kupitia mazingira magumu na kutumia usafiri mbovu wa kubeba watu kwenye mafuso imeweza kusababisha msiba juu ya misiba wengi wamepoteza maisha kwa kupitia huu mfumo sasa hiyo imekua ni hasara kubwa kubwa kwa taifa na hii wakati mwingine inaonyesha waafrika ni kiasi gani hatuna akili na ni wavivu kufikiria.
Kuanzian na mimi na watanzaia wote kwa ujumla hili swala inabidi tulifikile upya kwa mapana na marefu najua sisi wote tutakufa na lazima tuzikane lakini tuangale tunazikanaje na swala la kwenda na muda na tuangalie wenzetu wazungu wanafanyaje nakumbuka nilishaangaliaga msiba mmoja wa kizungu niliona watu nane tu msibani nasisi tubadilishe mfumo wetu wa jinsi ya kuzikana kama itawezekana.
Na kupitia mazingira magumu na kutumia usafiri mbovu wa kubeba watu kwenye mafuso imeweza kusababisha msiba juu ya misiba wengi wamepoteza maisha kwa kupitia huu mfumo sasa hiyo imekua ni hasara kubwa kubwa kwa taifa na hii wakati mwingine inaonyesha waafrika ni kiasi gani hatuna akili na ni wavivu kufikiria.
Kuanzian na mimi na watanzaia wote kwa ujumla hili swala inabidi tulifikile upya kwa mapana na marefu najua sisi wote tutakufa na lazima tuzikane lakini tuangale tunazikanaje na swala la kwenda na muda na tuangalie wenzetu wazungu wanafanyaje nakumbuka nilishaangaliaga msiba mmoja wa kizungu niliona watu nane tu msibani nasisi tubadilishe mfumo wetu wa jinsi ya kuzikana kama itawezekana.