Afrika Kusini: Wanawake waruhusiwa kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,005
....that Women are allowed to marry more than one man.
 
Mwaka 2017 Kevin Spacy alisema kwama
"I have had relationships with both men and women. I have loved and had romantic encounters with men throughout my life, and I choose now to live as a gay man."

Hii ilipelekea kuondolewa kwenye S6 ya House of Cards maana walimtuhumu pia alikua anawasumbua wanaume/waigizaji wenzie (Sexual Harassment)
Does this ring a bell to you? Since yiu use his name and avatar?


Natumia jina na avatar la character kwa jina la Frank Underwood.
 
Mwaka 2017 Kevin Spacy alisema kwama
"I have had relationships with both men and women. I have loved and had romantic encounters with men throughout my life, and I choose now to live as a gay man."

Hii ilipelekea kuondolewa kwenye S6 ya House of Cards maana walimtuhumu pia alikua anawasumbua wanaume/waigizaji wenzie (Sexual Harassment)
Does this ring a bell to you? Since yiu use his name and avatar?
 
Ha ha ha ha ha ha hao wanawake labda waolewe na marioo au na walevi wa gongo. Kama pisi kali sisi wanaume hatuna shida kushare ila akishaanza kuchuja kila mwanaume ataondokea mlango wake abakie kama alivyo.

Anyways naona jamii sasa imekosa uelekeo na wanafanya kila jambo ambalo akili inawaambia.

Soon makanisa ya kishetani yataanza wazi wazi na bible itaandikwa upya sababu 90% ya mafunzo yake yataanza kuonekana kama kero au kuwatusi certain types of minority groups....
 
Hahahahahahaha hata BEBERUS hawajafanya huu ujinga, sijui Serikali ya South Africa walikuwa wanawaza lipi?

Imekaa njema, ngoja nitafute uzi wa kuzamia South sasa kwa mwongozo zaidi....
 
BT dahhhh!!!! sikukutegemea kabisa uunge mkono hili. Haya wasalimie wajukuu wa Mandela. Nakumbuka nilishaona story ya UK ya mrembo aliyekuwa akiishi na 2 husbands nadhani na Kenya pia halafu wako happy kabisa na maisha yao.

South Africa here i caaaaaaaaaaaaaaaaammmmeeeee!!!!!!
 
Back
Top Bottom