Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Habari imekaa kishabiki sana
Kutoka Dar kwenda south Africa Kuna boder tatu kwa njia ya zimbabwe , boader nne kea njia ya botswana
Clearance ya mizigo kwenye hizi boder ni expensive na time consuming, ,
South africa Wana bandari zaidi ya tatu zenye uwezo na ufanisi mkubwa sana
Kwa akili za kuvukia barabara tu, m south hawezi tumia bandari ya dar labda kwa projects maalumu.
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Source ITV habari
Hao wa Africa kusini mbona wanyo bandari yao? kwanza kusafirisha kontena la mzigo kwa gari kutoka Dar kwenda africa kusini ni gharama sana kuliko kusafirisha na meli kwenda kwao, tuseme tu kuwa ni wafanya biashara wa africa kusini wana mizigo ya kwenda Zambia na malawi ndio wanaipitishia hapa maana ni karibu na nafuu kufika huko zambia na malawi.
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Source ITV habari
Jifunze kutofautisha “South Africa “ na “Southern Africa “. Ndio maana huachi kushabikia ccm.
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
Haya ni matokeo ya ujinga wa kuweka watu wako kila mahali ili wakupongeze na kukusifia kwa mafanikio yako kumbe wanaishia kukudhalilisha na kukufanya mjinga kama wao. Ili waonekane wanafanya kazi, wateuliwa wanatumia vyombo vya habari kuutangazia ulimwengu eti meli itoke Ulaya, Amerika au Amerika ya Kusini na mizigo ya Afrika ya Kusini ipite Bandari ya Cape Town, Durban, Beira (imeunganishwa kwa Reli) ije iteremshwe Dar isafirishwe kwa barabara siku nyingi mpaka Cape Town. Mzigo wa Afrika ya Kusini kwenye meli yoyote toka nchi yoyote utafika haraka zaidi na salama ukikwepa Bandari yoyote ya Tz na kwenda moja kwa moja mpaka kwenye Bandari yoyote ya Afrika ya Kusini. Hata hapa kwetu ni wajinga wa CCM tu ndo wataunga mkono ujinga huo!
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari

From.here to South Africa? Beira, Durban and Port Elizabeth zote hazina tija kwao? Congratulations if that is the case
 
Kuwa na bandari nyingi siyo hoja bwashee watu wanaangalia ubora!
Kuwa na vidole nyingi (ku type mitandaoni) au tuseme ulimi (hata kama ni mmoja tu) siyo hoja pia, watu wanaangalia akili iliyotumika kusema chochote anachotaka kusema bin-Adam (au binadamu ukipenda)...
 
Mtoa mada anashindwa kujitetea hata kwa kusema haya...
👇🏽
Kuna mizigo ilitakiwa ishukie afrika ya kusini ndipo isafilishwe kwenda nchi zilizo ukanda wa maziwa makuu na jirani, so kutokana na ufanisi wa bandari ya Dar Es Salaam, wafanyabiashara hao wameona bora meli ikashushe bandari ya Dar.
 
DSM to Tunduma boarder - Tunduma to Zambia, Zambia to Gaborone, Gaborone to South Africa (= KM 5,070) nonstop = total 71 hours

Msema kweli mpenzi wa Mungu
DSM-Tunduma, Nakonde, Chirundu, Beit bridge, Limpopo! Mfanyabiashara gani anabeba hizo gharama zote.
 
Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa
Hii habari ni ngeni mno mno na ngumu kumeza! zambia wenyewe ambao kuna reli hadi kwao sasa hivi mizigo yao inashuka Beira. Sembuse SA siamini. Hawakawii kusema ipo ktk ilani ya chama:D
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
Wewe ni kilaza mkubwa sana,unaujua umbali wa kutoka Dar mpaka south,unazijua bandar za south Africa, unazijua route kubwa zote za Meli lazima zikaishishie south,kwa taarifa yako hawatumii bandari moja kama tunavyotumia ya Dar
 
Back
Top Bottom