Afrika Kusini na ubaguzi wa rangi, picha hii yazua taharuki

Wazungu wamekuja kuturahisishia Maisha hebu fikirieni leo Wasingekuja Afrika..sorry kwa kusema hivi tungekuwa tunatemba kwa miguu Dar hadi Mbeya
 
Haya wameshawachanganya sasa semeni tena
IMG-20190111-WA0015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini mungu alituumba rangi tofaut? Tatizo linaanzia hapo kabla ya kuwalaum wazungu

Sent using Jamii Forums mobile app
“Oh men! Behold, We have created you all out of a male and a female, and have made you into nations and tribes, so that you might come to know one another. Verily, the noblest of you in the sight of Allah is the one who is most deeply conscious of Him. Behold, Allah is All-Knowing, All-Aware” (Quran 49:13).

Jibu lipo kwenye maandishi mekundu....

Kuna watu watafoka najua
 
Wazungu wamekuja kuturahisishia Maisha hebu fikirieni leo Wasingekuja Afrika..sorry kwa kusema hivi tungekuwa tunatemba kwa miguu Dar hadi Mbeya
Akili kama hizi ndio maisha zitamfanya mwafrika awe mtegemezi mpaka atakufa. Mzungu/mwarabu/mchina/mhindi wamewezaje ata mwafrika ashindwe?
 
Akili kama hizi ndio maisha zitamfanya mwafrika awe mtegemezi mpaka atakufa. Mzungu/mwarabu/mchina/mhindi wamewezaje ata mwafrika ashindwe?
Ukweli huwa ni mchungu!..angalia Nigeria Wanamafuta sawa na Kuwait lakini Mnigeria utamkuta ukimbizini South Afrika
 
Ukweli huwa ni mchungu!..angalia Nigeria Wanamafuta sawa na Kuwait lakini Mnigeria utamkuta ukimbizini South Afrika
Hayo ni matokeo ya mentality ya Muafrika, Kusema kuwa bila Mzungu tusingekuwa na gari. Waafrika tunanyanyasana wenyewe kwa wenyewe. Ingekuwa tunapendana, nakuhakikishia, si mzungu, si mwarabu, si mhindi, si mchina, wangekuwa wanatupigia magoti.

Bara limejaaliwa kila aina ya natural resources, ardhi iliyojaa rutuba eti bado tunaomba hela nje!

Badilisha mtazamo wako na ujiamini kama unaweza!
 
hivi picha kama hii inaweza kueleza ubaguzi naikaeleweka /kuaminika.Pengine kungekuwa na maelezo ya ziada! unaweza kuona kuna ubaguzi wa Rangi ...kumbe na wewe unatazama hii picha ukiwa na roho ya kibaguzi !
 
Bara limejaaliwa kila aina ya natural resources, ardhi iliyojaa rutu
Sasa unatulaumu au unajilaumu au unalaumu...Ukweli ni Mchungu!..Sisi waafrika ndio jamii pekee ambayo utakuta Usiku kucha tunakesha Kurogana Kijiji kinaroga Kinawaroga Kijiji cha Jirani jirani anamroga Jirani mwenzake..
 
Sauzi Africa ni shida tuu. Mandela hakuna alilolifanya ktk suala la ubaguzi
FB_IMG_15471860188400665.jpeg


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
145523514-612x612.jpg

Mzungu kaja kuturahisishia maisha Ukweli Mchungu!
Sisi uvumbuzi wetu ni huo wa kuweka Bakuli mdomoni ili msaada uje direct ili tuumeze.
 
Back
Top Bottom