Afrika Kusini na ubaguzi wa rangi, picha hii yazua taharuki

Hasa zamani wanawake wa kiafrika waliolewa lakin sahv si dhan

Sent using Jamii Forums mobile app
Walio olewa huko ni watumwa ambao walichukuliwa Zanzibar kipindi cha Sultan Said baba yake Sultan Qabuus wa Sasa Hapo Oman baada ya kukaa yeye madalakani ndipo ikatungwa hiyo sheria nikupe mfano :Mascat Kuna Wanzazibar wengi wanaongea kiswahili vizuri tu hao wanaluhusiwa kuoa/kuolewa why kwa sababu passport zao sio za Tanzania yaani wanajulikana ni waarabu. Watumwa walio pelekwa huko zamani.
 
Inasikitisha sana...

Wao wanatudharau, sisi tunawanyenyekea kabisa...


Cc: mahondaw


Ndio tatizo Mwafrika was leo, hajiamini. Anafikiri mzungu ni Superior, na yeye inferior, wale ni binadamu kama sisi tofauti wamefundishwa, wanafundishwa kujiamini.

Shuleni wanajifunza kwamba wao wametawala, wamevumbua karibu kila kitu, Sisi tunakariri Livingstone alifanya hivi na ujinga mwingine mwingi.
 
Natamani hii picha itufundishe sisi tunaobaguana kiitikadi, kichama na kimkoa na kikanda. Huu uchungu uliouona wewe ndivyo huwa tunajina sisi unavyotupima kikanda au kikabila unapogawa keki yetu kwa kelele kuwa huna chama.
 
Ninataka tu kumjua mwalimu wa darasa kabla sijachangia.

Ila hii picha inaumiza kwakweli.
 
Walio olewa huko ni watumwa ambao walichukuliwa Zanzibar kipindi cha Sultan Said baba yake Sultan Qabuus wa Sasa Hapo Oman baada ya kukaa yeye madalakani ndipo ikatungwa hiyo sheria nikupe mfano :Mascat Kuna Wanzazibar wengi wanaongea kiswahili vizuri tu hao wanaluhusiwa kuoa/kuolewa why kwa sababu passport zao sio za Tanzania yaani wanajulikana ni waarabu. Watumwa walio pelekwa huko zamani.
Ni kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu hatari sana hawa watu wanapandikiza chuki toka utoto : unashangaa kwanini ubaguzi hauishi.
 
Wazungu hatari sana hawa watu wanapandikiza chuki toka utoto : unashangaa kwanini ubaguzi hauishi.

Sio wote mfano USA, UK, France huwezi kufanya hivi, utafunguliwa kesi, kufukuzwa kazi. Your reputation will be in tatters.

Ukweli ni kwamba Wazungu was SA bado wanamiliki kwa asilimia kubwa kila kitu muhimu SA. Ardhi, madini, big businesses.

Solution ingekuwa Kwa Wasauzi weusi kuheshimu elimu, kusoma, ili hata wakipewa ardhi, biashara waweze kutumia hizo nafasi vizuri. Ila hawapendi elimu, kujiongeza.

Serikali yao iwe na sera za maana kuwasaidia watu wao.
 
Watu weusi ni watu wa ajabu sana, Hivi hili nalo limekua ishu? kzi kushuhulika namambo yasiyo na msingi tu.

Ni issue gani kubwa zaidi ya hii? tuambie, hapa unazungumzia elimu, mfumo, matabaka, ubaguzi, future of a country, future prospect of blacks kwenye nchi yao. Mustakabali wa nchi.
 
Kwa hii picha nmesikitika sana kujua kwamba kuna baadhi za shule zina itikadi za kibaguzi hadi sasa, unaweza kujisifia umempeleka mtoto wako shule nzuri ya milioni 30 kwa mwaka ambayo ina watoto wa kizungu kibao ila yanayoendelea huko ukija kuyajua kwa hakika utahamisha mtoto ajichanganye na waafrika wenzae shule za kata.

Ubaguzi.jpeg
 
Yote mawili Mkuu!! Jee wewe ni mwendawazimu, mpumbavu au hayawani? Wazee wa wengine lazima walaumiwe kwa kutowafunza watoto wao adabu!! Inaelekea wewe ni mndundu. Mungu akusaidie, inshaa Llaah

Tatizo la hawa viumbe hawana kauli nzuri, kuna mmoja hapo juu kanitusia mama yangu tusi baya sana. Hawa watu wa ajabu sana mkuu, cjui ndivyo wanafundishwa kule kanisani.
 
Sikilizeni Speech za Julius Malema na Uchochezi wake,Waafrika pia tuna Ubaguzi wa hali ya juu kabisa tumewaua Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa kati Millioni Mbili.
 
Back
Top Bottom