lhera
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,835
- 3,603
Sawa unayosema ukiona watu weusi wana baguana inategemea na. Daraja huyu anajiona kwa hadhi yake hawezi kuwa karibu na huyu hata watu weupe wenyewe kwa wenyewe wanafanyiana hvyo, lakin hawa watu weupe wanavyotufanyia sisi waafrika weee acha tu, yaan wanatuona kama uchafu, usiwaone juu juu wanavyocheka kinafki mm nimeishi nao nawajua A _ ZWatu weupe hawa ni wabinafsi sana si wazungu tu hata miafrika ni mibaguzi tu.tunabaguana sisi kwa sisi.
Kuna mmoja niliwahi kumsikia akisema "waafrika ni weusi na roho zao nyeusi" kama kuna kaukweli flani hivi, binafsi naona wenye imani na roho nzuri ni wachache munoo.
Sent using Jamii Forums mobile app