Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,023
- 1,609
Mwanafunzi mzungu nchini Afrika Kusini amesimamishwa masomo kwa uchunguzi zaidi baada ya kushtakiwa kwa kukojolea mali ya mwanafunzi mweusi katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch, ambapo anaweza kufukuzwa chuo au kufunguliwa mashtaka ya jinai kulingana na matokeo ya uchunguzi.
Kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani, mwanafunzi huyo mweusi alikuwa amelala na aliamka aliposikia kuwa kuna mtu chumbani mwake, na katika video hiyo anaonekana akimuuliza mwanafunzi huyo wa kizungu kwanini anakojolea vitu vyake.
Katika taarifa, msemaji wa Chuo Kikuu cha Stellenbosch Martin Viljoen alisema kuwa chuo kikuu "kinalaani vikali tukio hilo la uharibifu, la kuumiza na la kibaguzi" ambalo kwa mara nyingine tena limeangazia mapambano ya Afrika Kusini dhidi ubaguzi wa rangi nchini humo.
————————————-
A white student in South Africa has been suspended from university after he was accused of urinating on the property of a black student at Stellenbosch University, the institution confirmed to BBC News on Monday.
The university has said the incident will be investigated and further action including expulsion and criminal charges may be taken, depending on the outcome of the investigation.
Scores of students protested at Stellenbosch University on Monday demanding swift action against the first-year student .
The university – like many on social media who have seen the widely circulated video – has said the incident appears to have been racially motivated.
In a statement, Stellenbosch University spokesperson Martin Viljoen said that the university "strongly condemns the destructive, hurtful and racist incident”.
The victim is still in shock and trying to process what happened, the university has said.
According to local media reports, he was sleeping and awoke when he heard that someone was in his room.
In the video he is heard asking the white student why he is urinating on his belongings.
The incident has once again shone a spotlight on South Africa’s struggles with racism – decades after the end of apartheid.
Source: BBC