Afrika kuandika tena historia ya mrithi wa kiti kuangushwa na upinzani baada ya Rais aliyekuwa madarakani kufariki akiwa madarakani?

Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2014, alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Andiko lako limejaa ukweli mtupu. Ila Tanganyika au Tanzania tunaangushwa na kutokuwa na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mbovu. Huko ulikokutaja wanazo TUME HURU ZA UCHAGUZI. Environmental Security

Hapa Ccm imejisokota ktk vyombo vya Dola na vya maamuzi. Wako tayari kuua wananchi wao ili wabaki madarakani .
 
Madam President ameonesha weakness ya kutosha kwenye uongozi lakini tatizo hakuna mpinzani anayeweza kuingia Ikulu.
Hivyo 2025 CCM wataendelea kutawala, possibly atakuwa huyu huyu Madam na udhaifu wake.
Kwa kuitazama CCM ya sasa naona inaenda kugawanyika vipande na hapo litazaliwa kundi la upinzani lenye nguvu lililojijenga tangu sasa kimya kimya.
Japo pia natambua uwezo wa CCM kujirekebisha na kuwa Imara zinapofika nyakati za uchaguzi hasa wakiona tishio toka nje (upinzani)
Madam President ameonesha weakness ya kutosha kwenye uongozi lakini tatizo hakuna mpinzani anayeweza kuingia Ikulu.
Hivyo 2025 CCM wataendelea kutawala, possibly atakuwa huyu huyu Madam na udhaifu wake.
 
Hakushindwa, ila alingangania madaraka kudhani anaweza kubadilishe mfumo ambao Wanigeria wanao tangu 1956 karibu miaka sabini hivi na hata Jeshi linaufuata.

Mkristo term mbili akitoka Muuislam term Mbili, kifo cha Rais Yara Dua kili interrupt kawaida yao, na kwa busara wananchi wakaamua warudishe kawaida yao.

Kwa uzoefu walio nao dini mmoja ikiendelea kutawala serikali hupinduliwa..

Na akitoka aliyepo madarakani ni zamu ya Wakristo kuminyana wapate mmoja miongoni mwao angoze nchi .
😂😂😂😂
Mkuu hoja yako imeongeza ufikirishi zaidi maana hata hapa kwetu kuna hiyo kitu japo haijaandikwa popote ila tunajua akitoka wa dini hii anaingia wa dini hii.
Sasa kama ilivyokuwa naijeria imetokea na kwetu. Najua hata timu za dini tofauti zilizokuwa zimeajdaa mtu wao kila timu kwa kufuata utaratibu huo. Zimeathirika sana mipango yao
 
Madam President ameonesha weakness ya kutosha kwenye uongozi lakini tatizo hakuna mpinzani anayeweza kuingia Ikulu.
Hivyo 2025 CCM wataendelea kutawala, possibly atakuwa huyu huyu Madam na udhaifu wake.
Wapinzani usiowaona ndiyo hawa kila siku vyombo vya Dola vinahakikisha wanashinda magerezani ?!. Kama hawana maana vyombo vya Dola visingeangaika.

Kumbuka huyu wa Zambia ni safari tano anafeli kama Lipumba . Lakini wananchi wakichoka wamechoka. Tatizo la Tanganyika si viongozi wa upinzani. Bali kutokuepo kwa TUME HURU YA UCHAGUZI.
 
Kwa bongo haliwezekan sababu ya katiba yetu ,Hao uliwazungumzia wote wana katiba safi ambayo haimpi Rais mamlaka lukuki mfano Malawi jamaaa wanamahakama safi kabisa waliweza kutengua hadi matokeo ya Rais wakati huku. Kwetu ukienda mahakamani hakimu anakuwa ameshapata maelekezo kutoka juu hapo anakuja kutekeleza tu na blah blah nyingi.
Kwanza, kwa KATIBA yetu tuliyonayo sasa, matokeo ya Rais hayapingwi mahakamani, ni matokeo ya wabunge na madiwani tu ndiyo unayoweza kuyapinga mahakamani. Usione katiba hii inakumbatiwa sana na CCM, hiyo ndiyo ngao yao kuu.
 
Mkuu mimi nauona upinzani kutoka ndani ya CCM iliyo vipande vipande,
Huo ndio tunautaka kwa kuwa utatulazimisha upinzani ubadilike kweli, sasa hivi tuna watu wamaonyesho na njia sahihi wamekosa. Na wengine hatuja taka kusema, unajuwa ukikuta chupi ya mama yako imekwisha huwezi kumwambia hata jirani mbali ya kuzoeana sana.

makosa ya mama huyaanikwi sana barabarani sana sana labda yale kila mmoja anavyoona .

Upinzani fuata upepo wametuchelewesha na wanaendelea kutuchelewesha.
 
Kwa upinzani utopolo wa akina mbowe????


Kwa taatifa yako CCM haiondoki leo au kesho.

Mitanzania yenyewe hii mioga mioga kama mende?????????
 
Andiko lako limejaa ukweli mtupu. Ila Tanganyika au Tanzania tunaangushwa na kutokuwa na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mbovu. Huko ulikokutaja wanazo TUME HURU ZA UCHAGUZI. Environmental Security

Hapa Ccm imejisokota ktk vyombo vya Dola na vya maamuzi. Wako tayari kuua wananchi wao ili wabaki madarakani .
😂😂😂😂 eti imejisokota...
Ila mkuu wakuitoa CCM ni CCM yenyewe, kumbuka huyo Ngoyai alivyokuwa naye amejisokota ktk dola kwa mipango ya muda mrefu, kama CCM wakati ule ingekosa wajuvi wa kazi kama JK and co. Leo tungekuwa tunaongea mengine
 

Mkuu hoja yako imeongeza ufikirishi zaidi maana hata hapa kwetu kuna hiyo kitu japo haijaandikwa popote ila tunajua akitoka wa dini hii anaingia wa dini hii.
Sasa kama ilivyokuwa naijeria imetokea na kwetu. Najua hata timu za dini tofauti zilizokuwa zimeajdaa mtu wao kila timu kwa kufuata utaratibu huo. Zimeathirika sana mipango yao
Naona kama una uelewa vile! ! ! ! !
 
Maswali mengine unauliza huku tayari ukiwa unajua jibu.

Huko kote ulikojitahidi kupaelezea, walikuwepo CCM?

Sasa ya nini upoteze muda mwingi kutafuta jibu lililo wazi.

Ukitaka kuilinganisha Tanzania na nchi hizo, ni lazima utafute njia za kuidhibiti CCM, vinginevyo unapoteza tu muda wako.

Uwepo wa CCM, maana yake ni kwamba hakuna uchaguzi wowote huru unaoweza kufanyika ndani ya nchi hii, na bila ya kuwepo haki kwenye uchaguzi, jibu sahihi ni kwamba CCM hawawezi kutoka madarakani waTanzania watake au wasitake. Maana ya hii ni kwamba, bila wananchi kukataa kura zao zisichezewe, ni CCM pekee ndio wanaoweza kutawala nchi hii. Hakuna wa kuwaondoa.

Hivi bado hujamsoma 'Maza Mizinguo'? Huoni kabisa kwamba amekwishaanza kampeni za kuendelea kuwepo madarakani, akiwa na uhakika huo kwa kujua kwamba mbinu zote zinazotumika miaka yote anazitumia. Angalia vizuri, kama hujamsoma kuhusu hilo.

Ndugu Kalamu1, that's one side of your argument/observation

Lakini on the other side of the coin, wengine waweza kusema tofauti kabisa na ndiko niliko mimi...

Mfano, mimi naamini kuwa CCM inadhibitika kwa kigezo cha MAJIRA na NYAKATI...

Kwamba, ni kweli kabisa kuwa, wakati mwingine AKILI na UWEZO wa mbinu za kawaida za mwanadamu hushindwa kudhibiti na kulitawala jambo fulani...

Lakini wapo waamuzi na wadhibiti wa asili wa mambo ambao ni MAJIRA (seasons) na NYAKATI (times)....

Kwamba yakifika majira na nyakati za kitu/jambo/mtu/hali fulani kufikia UKOMO wake, hakuna kinachoweza kuuzuia mwisho wa mtu/kitu/jambo/hali hiyo....

Sasa swali la kujiuliza ni hili, hatudhani kuwa majira na nyakati zimekwisha kufika kwa siasa za ki - CCM katika nchi hii kufikia ukomo wake...?

Je, ni kweli hatuzioni na kuzitambua dalili au viashiria vya jambo hili kutokea haraka na upesi sana....?

Mimi naona yote aisee...!!

Kuna wengine wanasema hakuna chama cha kukipokea CCM kuongoza nchi hii...

Lakini hawa wanashindwa kutambua jambo moja, kuwa huu ni mtazamo na ni fikra za kibinadamu tu ambazo siku zote zina mipaka yake...

Hata kama hakuna chama kingine kuchukua dhamana ya kuongoza nchi hii (japo huu ni uongo tu), bado nature inaweza kuamua vinginevyo kwa sababu watu wa nchi hii wanaweza kujitawala hata bila ya uwepo wa chama cha siasa chochote kile..!!
 
Kwa upinzani utopolo wa akina mbowe????


Kwa taatifa yako CCM haiondoki leo au kesho.

Mitanzania yenyewe hii mioga mioga kama mende?????????
Faida gani kuendelea kuwa chini ya Ccm . Kama ni umasikini . Basi Tanzania bado ni nchi masikini kabisa duniani.

Fahari gani ya kuendelea nayo ?!
 
Ndugu Kalamu1, that's one side of the coin of your argument/observation

Lakini on the other side of the coin, wengine waweza kusema tofauti kabisa...

Mfano, mimi naamini kuwa CCM inadhibitika kwa kigezo cha MAJIRA na NYAKATI...

Kwamba, ni kweli kabisa kuwa, wakati mwingine AKILI na UWEZO kwa maana ya mbinu za kawaida za mwanadamu hushindwa kudhibiti na kulitawala jambo fulani...

Lakini wapo waamuzi na wadhibiti wa asili ambao ni MAJIRA (seasons) na NYAKATI (times). Kwamba yakifika majira na nyakati za kitu/jambo/mtu/hali fulani kufukia UKOMO wake, hakuna kinachoweza kuuzuia mwisho huo...

Sasa swali la kujiuliza ni hili, hatudhani kuwa majira na nyakati zimekwisha kufika kwa siasa za kiCCM katika nchi hii kufikia ukomo wake?

Je, ni kweli hatuzioni na kuzitambua dalili au viashiria vya jambo hili kutokea haraka na uoesi sana....?

Mimi naona aisee. Wengine wanasema hakuna chama cha kukipokea CCM kuongoza nchi hii...

Lakini hawa wanashindwa kutambua kuwa huu ni mtazamo na ni fikra za kibinadamu tu ambao siku zote zina mipaka yake...

Hata kama hakuna chama kingine kuchukua dhamana yq kuongoza nchi hii (japo huu ni uongo tu), bado nature inaweza kuamua vinginevyo kwa sababu watu wa nchi hii wanaweza kujitawala hata bila ya uwepo wa chama cha siasa...!!
Ndugu Kalamu1, that's one side of the coin of your argument/observation

Lakini on the other side of the coin, wengine waweza kusema tofauti kabisa...

Mfano, mimi naamini kuwa CCM inadhibitika kwa kigezo cha MAJIRA na NYAKATI...

Kwamba, ni kweli kabisa kuwa, wakati mwingine AKILI na UWEZO kwa maana ya mbinu za kawaida za mwanadamu hushindwa kudhibiti na kulitawala jambo fulani...

Lakini wapo waamuzi na wadhibiti wa asili ambao ni MAJIRA (seasons) na NYAKATI (times). Kwamba yakifika majira na nyakati za kitu/jambo/mtu/hali fulani kufukia UKOMO wake, hakuna kinachoweza kuuzuia mwisho huo...

Sasa swali la kujiuliza ni hili, hatudhani kuwa majira na nyakati zimekwisha kufika kwa siasa za kiCCM katika nchi hii kufikia ukomo wake?

Je, ni kweli hatuzioni na kuzitambua dalili au viashiria vya jambo hili kutokea haraka na uoesi sana....?

Mimi naona aisee. Wengine wanasema hakuna chama cha kukipokea CCM kuongoza nchi hii...

Lakini hawa wanashindwa kutambua kuwa huu ni mtazamo na ni fikra za kibinadamu tu ambao siku zote zina mipaka yake...

Hata kama hakuna chama kingine kuchukua dhamana yq kuongoza nchi hii (japo huu ni uongo tu), bado nature inaweza kuamua vinginevyo kwa sababu watu wa nchi hii wanaweza kujitawala hata bila ya uwepo wa chama cha siasa...!!
We call it natural death
 
Mtiririko wa mapambano ya Hakainde Hichilema (aka HH au Bally) kwa ufupi ulikuwa hivi:

Alipambana na Levy Mwanawasa 2006. Alipokufa Mwanawasa 2008 kwa kiharusi akapambana na Rupiah Banda mwaka huohuo.

Akapambana na Rupiah Banda tena na Michael Satta 2011, akashinda Michael Satta.

Alipokufa Michael Satta, akapambana na Edgar Chagwa Lungu 2015 na kisha 2016. Mara zote hizo tano alishindwa kwa mizengwe mingi, lakini akawa mvumilivu na kuzidi kujenga hoja na kuuza sera mbadala. Amekuja kushinda baada ya kugombea mara ya sita sasa 2021

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Mtiririko wa mapambano ya Hakainde Hichilema (aka HH au Bally) kwa ufupi ulikuwa hivi:

Alipambana na Levy Mwanawasa 2006. Alipokufa Mwanawasa 2008 kwa kiharusi akapambana na Rupiah Banda mwaka huohuo.

Akapambana na Rupiah Banda tena na Michael Satta 2011, akashinda Michael Satta.

Alipokufa Michael Satta, akapambana na Edgar Chagwa Lungu 2015 na kisha 2016. Mara zote hizo tano alishindwa kwa mizengwe mingi, lakini akawa mvumilivu na kuzidi kujenga hoja na kuuza sera mbadala. Amekuja kushinda baada ya kugombea mara ya sita sasa 2021

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Anaweza kuwa moja kati ya marais bora sana kuwahi kutokea Africa
Time will tell
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Hatoboi.
 
Back
Top Bottom