Afrika ina nchi nyingi zenye siasa za kipumbavu, uongozi wa kipumbavu, maamuzi ya kipumbavu. Tanzania inaweza kuwamo?

Kuna nchi nyingi Afrika ambazo ukitafakari kwa makini, hata kama hazikuhusu utakuta zinakera sasa. Nyingi zimefikia kuwa na siasa za kipumbavu, uongozi wa kipumbavu na maamuzi ya kipumbavu. TRump kuna wakati aliziita hit hole countries - nchi za shimo la kinyesi. Nina uhakika alijua asemalo, hata kama na yeye ana matatizo yake yanayofanana na nchi hizo.

Ni wazi kwamb nchi hizo zinaekea kusiko kuzuri, lakini wengi wa watu wao hawalioni hilo. Wengi wanaburuzwa tu na kusukumwa kama mikokoteni, huko wakishangilia kila ujinga unaofanyika. Wengi wakifanya hivyo kwa uoga, kujipendekeza au kwa kuwa ni mbubumbu tu wa siasa.

Suala ni kwamba, raia katika nchi hizi watavumilia kuwa katika siasa za kipumbavu, uongozi wa kipumbavu na maamuzi ya kipumbavu. kwa muda gani? La ajabu ni kwamba wengi wa wananchi katika nchi hizi wanakuwa wananchama wa vyama tawala, na unajiuliza, hivi chama chako kikifanya siasa za kipumbavu, uongozi wa kipumbavu na maamuzi ya kipumbavu basi unakuwa sio upumbavu tena? Ni mtu taahira tu ndio anaweza kudhani upumbavu wa chamba chake au viongozi wa chama chake sio upumbavu kwa sababu unafanywa na chama chake!
sasa mkubwa ulitaka wawe upinzani kumbuka 1992 waliosema wanataka mageuzi walikuwa chini ya asilimia 20% ulitegemea kenge akamzaa bata pamoja na kwamba wote wanataga mayai ninafikiri wewe ni mmoja wa wapumbavu mnaotumiwa na mabeberu
 
Natabiri Dola nyingi za Afrika zitatumbukia katika vurugu na kuangushwa na mujhidin tuta shuhudia dumia ikitumia gharama kubwa kuziokoa.hii si zaidi ya miaka 10 ijayo
 
Unapotumia neno kipumbavu tambua kuwa na wewe ni sehemu ya huo upumbavu.

Siku zote kabla hujaanzisha uzi weka hasira pembeni kwanza, ndipo uufikishe ujumbe wako.

Mapovu mengi hayawi dalili ya busara wala hekima.
 
Unapotumia neno kipumbavu tambua kuwa na wewe ni sehemu ya huo upumbavu.

Siku zote kabla hujaanzisha uzi weka hasira pembeni kwanza, ndipo uufikishe ujumbe wako.

Mapovu mengi hayawi dalili ya busara wala hekima.
Nakubali Mkuu. Mimi pia ni mpumbavu kuacha upumbavu wa namna hii uendelee bila kuwa na mkakati wa kuumaliza hata kwa desperate measures!
 
sasa mkubwa ulitaka wawe upinzani kumbuka 1992 waliosema wanataka mageuzi walikuwa chini ya asilimia 20% ulitegemea kenge akamzaa bata pamoja na kwamba wote wanataga mayai ninafikiri wewe ni mmoja wa wapumbavu mnaotumiwa na mabeberu
Mkuu, nimesema mtu asiyeona upumbavu hata ukiwekwa mbele ya pua yake, ni mpumbavu kuliko hata hao wapumbavu. Angalia kwa mfano, suala la baadhi ya voingozi katika Afrika kupendelea maeneo ya nyumbani kwao katika miradi ya maendeleo bila hata kuwa na aibu, na bado utakuta watu wako kimya wanawashangilia tu! Sasa kama huo sio wendawazimu ni nini?
 
Unapotumia neno kipumbavu tambua kuwa na wewe ni sehemu ya huo upumbavu.

Siku zote kabla hujaanzisha uzi weka hasira pembeni kwanza, ndipo uufikishe ujumbe wako.

Mapovu mengi hayawi dalili ya busara wala hekima.
Watanzania bwana kwa kutafuta excuse za kutojadiri issue ya msingi ni hodari sana. Bila shaka umeelewa issue, lakini unataka ku-split hair kukwepa kujadili issue ambayo unajua ni kweli. Haya, endelea kufukia kichwa kwenye mchanga ukidhani umejificha watu hawakuoni matako yako wazi, kama mbuni!
 
Watanzania bwana kwa kutafuta excuse za kutojadiri issue ya msingi ni hodari sana. Bila shaka umeelewa issue, lakini unataka ku-split hair kukwepa kujadili issue ambayo unajua ni kweli. Haya, endelea kufukia kichwa kwenye mchanga ukidhani umejificha watu hawakuoni matako yako wazi, kama mbuni!
SIjatafuta kisingizio cha kukwepa, nimemkumbusha tu kwamba tusi linamhusu pia. Yeye ni sehemu ya ugonjwa, ingawa anaongea kama mtu wa nje asiyehusika.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom