kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
Afrika tuna bahati kuwa kasi ya kuenea na kufa kwa COVID-19 sio kubwa, tumshukuru kwa hili kwakweli. Sina uhakika kama hii inatokwna na uhodari wetu katika kuupiga vita ugonjwa. Hii ni tunu kutoka kwa MwenyeziMungu wetu. Lakini hatunabudi kuitumia bahati hii kwa kuchapa kazi kwa bidii wakati wenzetu wa Ulaya na Marekani wakiwa wamejifungia kwenye makabati.
Tutakuwa wapuuzi kama na sisi tutaamua kuwaiga wao ambao ugonjwa ni mkubwa kwa kujifungia nasisi kwenye mafriji huku tukiwa na idadi ndogo sana ya maambukizi.
Tuendelee kuchapa kazi saaana huku tukiendelea na kuchukua tahadhari za kawaida za kujikinga huku tukiendelea kuchapa kazi na kuendelea kuwaombea wenzetu huko wapate nafuu maana huwa tunategemeana.
Huu ni ule wakati wa kusema Mungu atupe nini waafrika weusi. Huu ni ule wakati wa Africa kuwa donor countries kwa wazungu.
Tusifuate mkumbo wa kujifungia nyumbani Kama wao wakati hali yetu sio Kama ya kwao. Mbona sisi wakati tukihangaika na tabu za njaa, wakimbizi, kipindupindu, HIV, TB, unyafuzi, Ebola, vita vya wenyewe kwa wenyewe wao wanaendelea kuchapakazi?
Naomba serikali ifungue shule na vyuo na kuruhusu watoto waendelee na masomo na wazazi wao waendelee na kuchapakazi huku wote tukiendelea na njia mbalimbali za kujilinda.
Kufa kufaana
Krg
Tutakuwa wapuuzi kama na sisi tutaamua kuwaiga wao ambao ugonjwa ni mkubwa kwa kujifungia nasisi kwenye mafriji huku tukiwa na idadi ndogo sana ya maambukizi.
Tuendelee kuchapa kazi saaana huku tukiendelea na kuchukua tahadhari za kawaida za kujikinga huku tukiendelea kuchapa kazi na kuendelea kuwaombea wenzetu huko wapate nafuu maana huwa tunategemeana.
Huu ni ule wakati wa kusema Mungu atupe nini waafrika weusi. Huu ni ule wakati wa Africa kuwa donor countries kwa wazungu.
Tusifuate mkumbo wa kujifungia nyumbani Kama wao wakati hali yetu sio Kama ya kwao. Mbona sisi wakati tukihangaika na tabu za njaa, wakimbizi, kipindupindu, HIV, TB, unyafuzi, Ebola, vita vya wenyewe kwa wenyewe wao wanaendelea kuchapakazi?
Naomba serikali ifungue shule na vyuo na kuruhusu watoto waendelee na masomo na wazazi wao waendelee na kuchapakazi huku wote tukiendelea na njia mbalimbali za kujilinda.
Kufa kufaana
Krg