lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
RAIS Jakaya Kikwete amesema Bara la Afrika lipo hatarini kuwa masikini wa kutupwa kuliko mabara yote duniani ikiwa viongozi wake hawatapata mbinu mpya za kiuongozi za kukabiliana na matatizo.
Baadhi ya changamoto alizozitaja Rais Kikwete ni mabadiliko ya hali ya hewa, umasikini, kasi ya ongezeko la watu, baadhi ya viongozi kutowajibika, uwazi na mabadiliko ya teknolojia; akisema mambo hayo yatalifikisha Bara hili pabaya yasipofanyiwa kazi.
MAONI YANGU: mimi nadhani hawa viongozi wetu wanafanya theory na mzaha wakati watu wanateseka kiukweli
Baadhi ya changamoto alizozitaja Rais Kikwete ni mabadiliko ya hali ya hewa, umasikini, kasi ya ongezeko la watu, baadhi ya viongozi kutowajibika, uwazi na mabadiliko ya teknolojia; akisema mambo hayo yatalifikisha Bara hili pabaya yasipofanyiwa kazi.
MAONI YANGU: mimi nadhani hawa viongozi wetu wanafanya theory na mzaha wakati watu wanateseka kiukweli