nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,497
Hiyo tafsiri yake Nyerere alifanya jambo la kishujaa sana kiasi hata ni ngumu kwa Museven kulifanyaMiaka ya 80 mwishoni
Museveni aliwahi kumsifu
Hayati Baba wataifa
kwa
Udhubutu wake waku"ng'atuka"
Nakuwaachia vijana uongozi...
Sijui museveni wa leo anakwama wapi?
Au ni sawa na Museven kusema Ulichokifanya Nyerere ningekuwa mimi nisingeweza kufanya