Nyakipambo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 435
- 141
Kwani Wairan ni waarabu? toka ln
Thubutu....nani kasema bongo hii kitu itakuja?
Rostam Aziz asili yake ni Iran, hivyo yupo hapa kuwatengenezea njia hao jihadists wakati nyie vilaza wa magamba mmelala; mtakapoamka mtakuta wanenu wasiokuwa na ajira wenye njaa nyingi wamevishwa magwanda meusi na wanabeba picha za Ayatolla Khomeni!!!!
Mkuu hujanisoma wewe....inaelekea hata hujui nani ni Magamba. Acha kukurupuka
Ah ndo kuna nini hapo? Wewe nyaki na nyie mkiwa mnabeba picha za pope tuseme kuwa munaabudu zungu demigod? Acha upumba.vu wako wewe! Na katika hiyo picha kuna kipi kibaya wanachofanya? Hakuna fujo just ni kawaida tu! Izo chuki zenu ndo zinazowarudisha nyuma!!