African Cup of Nations 2008

mpira umeisha mafirauni wamebeba kombe la afrika na cameroun wakanawe miguu wapande vitandani wakalale.


naam sasa tunasubiri kombe la dunia kule bondeni
 
Cameroun walizidiwa kila idara ilikuwa si rahisi kuchomoa. na kama si ushujaa wa kipa Kameni Leo ingekuwa aibu kubwa.
 
Misri soka lao la uhakika!

1. Mimi nawapongeza! Eti kwa kuwa hawatumii kilevi ndo huwa na hiyo stamina?

2. Kuna thesis ingine eti Wachezaji Weusi wanacheza Ulaya - na wanaogopa kuumia na hivyo hawajitumi na kujitoa kama walivyo Wamisri! Wachezaji wote Misri wanacheza soka hapo hapo home Misri!

3. Kuna siri gani kwa hawa Misri?
 
Misri soka lao la uhakika!

1. Mimi nawapongeza! Eti kwa kuwa hawatumii kilevi ndo huwa na hiyo stamina?

2. Kuna thesis ingine eti Wachezaji Weusi wanacheza Ulaya - na wanaogopa kuumia na hivyo hawajitumi na kujitoa kama walivyo Wamisri! Wachezaji wote Misri wanacheza soka hapo hapo home Misri!

3. Kuna siri gani kwa hawa Misri?

Huenda baadhi ya sababu hizi zikawa na ukweli fulani, hasa hiyo namba mbili, kwani lisemwalo lipo. Misri wanakwenda pombe kama kawa, hawa ni tofauti na wale waarabu wa Mashariki ya kati.
 
Misri soka lao la uhakika!


2. Kuna thesis ingine eti Wachezaji Weusi wanacheza Ulaya - na wanaogopa kuumia na hivyo hawajitumi na kujitoa kama walivyo Wamisri! Wachezaji wote Misri wanacheza soka hapo hapo home Misri!

Huenda baadhi ya sababu hizi zikawa na ukweli fulani, hasa hiyo namba mbili, kwani lisemwalo lipo. Misri wanakwenda pombe kama kawa, hawa ni tofauti na wale waarabu wa Mashariki ya kati.

Former Nigeria striker Daniel Amokachi says some European-based African players do not match their club form whilst playing for their countries.
Amokachi, who won the Africa Cup of Nations with Nigeria in 1994 told BBC World Service: "Football is a business, players are scared of getting injuries.
"That's what killed the last Africa Cup of Nations in Egypt - expectations were high but the football level was low."

Over 40 players based in England are playing in the tournament in Ghana.
 
Song atajilaumu maisha yake yote kwa mistake aliyofanya leo.

_44417492_song_ap416.jpg
 
Kwa kuwa mashindano haya ndiyo yamefikia kikomo, ningependa tuchague JF goal of the tournament na best player. Na kwa kuwa tunao wacameroon kwenye group yetu ya world cup qualifiers- tuwape ushari gani vijana wetu wa Stars baada ya kuona uchezaji wa Indomitable lions?

Mimi binasfi best goli langu ni la Manucho wa Angola na my best player ni Alexander Song, I think Wenger should start using him more regularly.

Cameroon wazee wengi na michezaji mingi ina mijiumbo mkubwa na hii inanyima kasi, kinachotakiwa kwa stars ni fitness ya hali ya juu na wacheze mpira wa kasi sana. Na wasisahau kumloga Etoo!
 
Misri soka lao la uhakika!

1. Mimi nawapongeza! Eti kwa kuwa hawatumii kilevi ndo huwa na hiyo stamina?

2. Kuna thesis ingine eti Wachezaji Weusi wanacheza Ulaya - na wanaogopa kuumia na hivyo hawajitumi na kujitoa kama walivyo Wamisri! Wachezaji wote Misri wanacheza soka hapo hapo home Misri!

3. Kuna siri gani kwa hawa Misri?

Ndugu zangu sio lazima mchezaji achezee ulaya ndio achukue kombe ebu acheni fikira za kikoloni, hakuna cha kuogopa kuumia wala nin,i mbona wachezaji wa brazil au wa argintina hawaogopi kuumia wakati wanachukua world cup?nakumbuka kuna wakati fulani Real Madrid ya spain ilikuja kucheza na Al-ahli ya Misri, Al-ahli ikashinda! Wamisri daima wanacheza mpira wa pamoja (they play as a team), wanacheza kwa moyo wa vita, daima wamisri wanaiheshimu sana timu yeyote ile inao cheza nao, hawana dharau.

Hizi ndio siri za timu ya misri
.
 
Former Nigeria striker Daniel Amokachi says some European-based African players do not match their club form whilst playing for their countries.
Amokachi, who won the Africa Cup of Nations with Nigeria in 1994 told BBC World Service: "Football is a business, players are scared of getting injuries.
"That's what killed the last Africa Cup of Nations in Egypt - expectations were high but the football level was low."

Over 40 players based in England are playing in the tournament in Ghana.

Mimi sikubaliani na haya maoni ya Amokachi 100%. Drogba na Etoo kwa mfano wamekuwa wakifunga magoli kibao kwa timu zao na wameliendeleza libeneke hata kwenye mashindano haya. Nadhani inakuwa ni vigumu kwa wachezaji wanaotoka vilabu vikubwa vya Ulaya na kurudi kuchezea timu zao za kiafrika kwa kuwa kuna tofauti ya styles za uchezaji na watu wanaocheza nao. Sidhani kama ni sahihi kuexpect waperform kama wanavyofanya kwenye clubs zao.
On the other hand,ingekuwa ni amri yangu, haya mashindano ningeyafanya kama ndio window shop kwa wachezaji ambao wanataka kutengeneza majina yao kwa vilabu vy ulaya. Clubs nyingi zinatuma scouts kuja kuangalia vjana wapya wenye uwezo lakini wanaishia kuwaona watu ambao wanawaona kila siku huko wanapotoka. Hii system inawasaidia sana Brazilians, wao kwenye copa america wanawatosa mastaa wao na kuchezesha watoto wengi wanaochezea ligi ya nyumbani.
 
Kwa kuwa mashindano haya ndiyo yamefikia kikomo, ningependa tuchague JF goal of the tournament na best player. Na kwa kuwa tunao wacameroon kwenye group yetu ya world cup qualifiers- tuwape ushari gani vijana wetu wa Stars baada ya kuona uchezaji wa Indomitable lions?

Mimi binasfi best goli langu ni la Manucho wa Angola na my best player ni Alexander Song, I think Wenger should start using him more regularly.

Cameroon wazee wengi na michezaji mingi ina mijiumbo mkubwa na hii inanyima kasi, kinachotakiwa kwa stars ni fitness ya hali ya juu na wacheze mpira wa kasi sana. Na wasisahau kumloga Etoo!



Tukitulia kama wamisri, tutapiga bao Cameroon.
 
Back
Top Bottom