African countries by vehicles per capital/ per population (Vehicles per 1000 people). Tanzania 7 and Kenya 70

Western Congo hakuna vita sana na huko ndipo Kinshasa ipo. Kinshasa yenyewe ni megacity na ina watu zaidi ya milioni kumi. Africa ina megacity chache ikiwemo Cairo, Lagos na Kinshasa. Wewe unadhani city ya watu milioni kumi kama Kinshasa itakosa kuwa na magari mengi? Halafu Wakongomani ni watu wanaopenda kujituma na sidhani kama ni Malazy.
Hawafi njaa kama ninyi na wana vita, sina hakika kama wanapokea misaada ya chakula, nimeshtuka kuona wana deni dogo sana la Taifa wala hawategemei kuomba misaada ili kulipa mishahara kama ninyi
 
Uje nikufunze vyema

Wafunze wenzako kwanza, kuna baadhi uandishi wao wa Kiswahili hutia kichefuchefu, mara nyingi huwa napitia hoja zenu kwenye jukwaa la siasa na kuwashangaa sana ikikumbukwa hawajui lugha nyingine yoyote ikiwemo hata ya asili kama vile Kinyakyusa au Kisukuma.
Muhimu sana kuwa mjanja wa lugha..... mimi binafsi natiririka lugha tano zikiwemo tatu za asili.
 
Upo sahihi, tatizo tunapo sema DRC watu wanapicha ya Goma, etc kumbe Kinshasa ni Paris ndogo..
Western Congo hakuna vita sana na huko ndipo Kinshasa ipo. Kinshasa yenyewe ni megacity na ina watu zaidi ya milioni kumi. Africa ina megacity chache ikiwemo Cairo, Lagos na Kinshasa. Wewe unadhani city ya watu milioni kumi kama Kinshasa itakosa kuwa na magari mengi? Halafu Wakongomani ni watu wanaopenda kujituma na sidhani kama ni Malazy.
 
We ndio hujui kitu kabisa, yaani watanzania mnaolalamikia kodi nchi laiti mngeishi kwenye nchi za jirani ndio mngejua namna Tanzania ilivyo na almost no tax

Anyway hizi statistics ni za uongo mtupu, Hakuna siku hata 1 Kenya inaizidi Tanzania kwa idadi ya magari
Hao huwa tunasoma malalamishi yao halafu tunacheka kimya kimya hihihihi
 
Hawafi njaa kama ninyi na wana vita, sina hakika kama wanapokea misaada ya chakula, nimeshtuka kuona wana deni dogo sana la Taifa wala hawategemei kuomba misaada ili kulipa mishahara kama ninyi
Ila wao bado ni Ldc na ni one of the poorest countries in the world. Gni per capita yao ni one of the lowest in the world.
 
Ila wao bado ni Ldc na ni one of the poorest countries in the world. Gni per capita yao ni one of the lowest in the world.
80% ya gari zote za DRC zonapita Tanzania, na mamia ya watanzania wajiajiri kwenye kuvusha ITs zao, hivyo haitakaa siku itokee DRC wakatupita kwenye ndinga sababu mtanzania gari ikifika bandarini tayari imefika mwisho wa safari, kwa DRC ikifika bandarini bado kuna maelfu ya kilometers kumfikia mteja
 
80% ya gari zote za DRC zonapita Tanzania, na mamia ya watanzania wajiajiri kwenye kuvusha ITs zao, hivyo haitakaa siku itokee DRC wakatupita kwenye ndinga sababu mtanzania gari ikifika bandarini tayari imefika mwisho wa safari, kwa DRC ikifika bandarini bado kuna maelfu ya kilometers kumfikia mteja
Acha ujinga,
Haifikii ata 20%
Eastern drc Ni poooor
 
tuusan natumai kwamba sasa utaelewa point yangu kwamba Kenya watu wengi wanamiliki magari kushinda Tanzania kwa hivyo expressway itapata wateja na wala sio kwamba wanafinywa maana wanalipa toll kwa hiari yao. Yaani tuusan hio statistic hapo juu maana yake ni hivi maana huwa napenda kubreak down vitu into simple language ili hata mama mboga aelewe:
Ukichukua watu elfu moja Tanzania randomly (wengine kutoka Dar, wengine Kigoma, wengine Tanga e.t.c) kisha ukawaambia wanaomiliki gari wainue mkono juu basi kati ya hao watu elfu moja ni watu saba tu watakaoinua mkono. Yaani kwa kila Watanzania elfu moja wasaba tu ndio wanamiliki gari.
Tukija upande wa Kenya, ukichukua Wakenya elfu moja randomly (wengine kutoka Nairobi, wengine Turkana, wengine Mandera, wengine Mombasa) na kuwaambia kwamba wanaomiliki gari wainue mkono juu basi kati ya hao Wakenya elfu moja Wakenya sabini watainua mkono juu. Yaani nikisema kwamba Mkenya mmoja mmoja ana pesa kushinda Mtanzania mmoja mmoja huwa mnaona kama ni utani. Hata kwenye kumiliki TV au Laptop nipo sure Mkenya mmoja mmoja anamiliki TV au Laptop kwa wingi kushinda Mtanzania mmoja mmoja. Hata umiliki wa baiskeli au pikipiki ni vivyo hivyo tu. Hata umiliki wa helicopter ni vivyo hivyo maana wakati wa Siasa Uganda na Tanzania huwa mnakuja Kenya kuagiza helicopter za wanasiasa wetu ili mkapige campaign nazo. Nyinyi mnatushinda tu kwa mlo. Yaani Mtanzania mmoja mmoja anashiba kushinda Mkenya mmoja mmoja, hii ni kwa sababu nchi yenu inapokea mvua kwenye 100% ya ardhi yenu ilhali Kenya 75% ya ardhi ni arid or semi-arid.


Cc Geza Ulole joto la jiwe ichoboy01 Shebby01 The best 007
Uhuru n Umoja
Aawapi hizi source za kuungaunga huwezi nidanganya hata siku moja! Niletee source kwanza ya hii ripoti! Kwanza mabasi na malori hamtufikii hata kidogo!
 
Wafunze wenzako kwanza, kuna baadhi uandishi wao wa Kiswahili hutia kichefuchefu, mara nyingi huwa napitia hoja zenu kwenye jukwaa la siasa na kuwashangaa sana ikikumbukwa hawajui lugha nyingine yoyote ikiwemo hata ya asili kama vile Kinyakyusa au Kisukuma.
Muhimu sana kuwa mjanja wa lugha..... mimi binafsi natiririka lugha tano zikiwemo tatu za asili.
Huwa napenda uandishi wako, sijaona kwako makosa ya kisarufi kama yafanywavyo na walio wengi.
 
Huwa napenda uandishi wako, sijaona kwako makosa ya kisarufi kama yafanywavyo na walio wengi.

Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

2696496_JamiiForums-780430982.jpg
 
AFRICAN COUNTRIES BY VEHICLES PER CAPITA/PER POPULATION (Vehicles per 1000 people)

1. Mauritius 192
2. Botswana 177
3. South Africa 174
4. Algeria 140
5. Tunisia 129
6. Egypt 109
7. Namibia 106
8. Morocco 103
9. Cape Verde 101
10. Eswatini 89
11. Kenya 70
12. Nigeria 64
13. Zimbabwe 60
14. Senegal 44
15. Ivory Coast 41
16. Comoros 33
17. Guinea 33
18. Angola 32
19. Ghana 32
20. Djibouti 28
21. Madagascar 27
22. Congo 27
23. Sudan 27
24. Togo 27
25. Congo 25
26. Benin 24
27. Zambia 23
28. Seychelles 22
29. Burkina Faso 16
30. Cameroon 15
31. Gabon 14
32. Mozambique 14
33. Liberia 14
34. E Guinea 13
35. Uganda 12
36. Mali 12
37. Eritrea 11
38. Mauritania 10
39. Ethiopia 9
40. Malawi 8
41. Tanzania 7
42. Gambia 7
43. Niger 7
44. Burundi 6
45. Sierra Leone 6
46. Chad 6
47. Guinea 5
48. Rwanda 5
49. Central African Republic 4
50. Lesotho 4
51. Somalia 3
52. Sao Tome 2
Source - Statista
Huu upupu umeutoa facebook kule kwenye ile page ya wakenya wanajiita Africa full facts wale jamaa hua wanaleta facts za uongo na lengo lao kuu huwa ni kutaka kuifanya kenya ionekane ni moja ya nchi bora hapa Africa, na ukiwapa za uso faster wanakublock, kwa ufupi hiyo page ni full of propaganda
 
AFRICAN COUNTRIES BY VEHICLES PER CAPITA/PER POPULATION (Vehicles per 1000 people)

1. Mauritius 192
2. Botswana 177
3. South Africa 174
4. Algeria 140
5. Tunisia 129
6. Egypt 109
7. Namibia 106
8. Morocco 103
9. Cape Verde 101
10. Eswatini 89
11. Kenya 70
12. Nigeria 64
13. Zimbabwe 60
14. Senegal 44
15. Ivory Coast 41
16. Comoros 33
17. Guinea 33
18. Angola 32
19. Ghana 32
20. Djibouti 28
21. Madagascar 27
22. Congo 27
23. Sudan 27
24. Togo 27
25. Congo 25
26. Benin 24
27. Zambia 23
28. Seychelles 22
29. Burkina Faso 16
30. Cameroon 15
31. Gabon 14
32. Mozambique 14
33. Liberia 14
34. E Guinea 13
35. Uganda 12
36. Mali 12
37. Eritrea 11
38. Mauritania 10
39. Ethiopia 9
40. Malawi 8
41. Tanzania 7
42. Gambia 7
43. Niger 7
44. Burundi 6
45. Sierra Leone 6
46. Chad 6
47. Guinea 5
48. Rwanda 5
49. Central African Republic 4
50. Lesotho 4
51. Somalia 3
52. Sao Tome 2
Source - Statista
Huu upupu umeutoa facebook kule kwenye ile page ya wakenya wanajiita Africa full facts wale jamaa hua wanaleta facts za uongo na lengo lao kuu huwa ni kutaka kuifanya kenya ionekane ni moja ya nchi bora hapa Africa, na ukiwapa za uso faster wanakublock, kwa ufupi hiyo page ni full of propaganda
 
Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

2696496_JamiiForums-780430982.jpg
CCM inawajaza watu ujinga, watu wanakufa na kupukutika kwa kuwasikiliza wanasiasa ambao wao tayari wameshadungwa chanjo.
Nimeikuta hii picha sehemu nikacheka sana, hivi mbona mnateseka kiasi hiki...... Ina maana uteuzi ni kama kujitoa mhanga.

2696496_JamiiForums-780430982.jpg
CCM haijali maisha ya watu. Watu wanateketwa kwa kuwasikiliza wanasiasa uchwara ambao wao wameshadungwa chanjo za kinga
 
Bado hizo ng'ombe kutoka lazyland zitazidi kusema kwamba Kenya ina uchumi wa kwenye makaratasi ilhali tumewazidi mara kumi idadi ya magari kwa kila watu elfu moja. Yaani number of cars per 1,000 people.

Cc Geza Ulole joto la jiwe The best 007 ichoboy01 Shebby01
Kwani Kenya ni first country? Mpaka iwe na 70 vehicles per capita in comparison to 7 vehicles per capita for Tanzania? wewe ni economist wa wapi ?
 
80% ya gari zote za DRC zonapita Tanzania, na mamia ya watanzania wajiajiri kwenye kuvusha ITs zao, hivyo haitakaa siku itokee DRC wakatupita kwenye ndinga sababu mtanzania gari ikifika bandarini tayari imefika mwisho wa safari, kwa DRC ikifika bandarini bado kuna maelfu ya kilometers kumfikia mteja
DRC ni kubwa mzee. Wacha kuwa akili punguani. Sasa DRC haina bandari? Kinshasa wana bandari yao wanayotumia na hawategemei bandari ya Tanzania. Bandari ya Tanzania inaserve eastern Congo pekee sio western. Western wana bandari yao.
 
Kwani Kenya ni first country? Mpaka iwe na 70 vehicles per capita in comparison to 7 vehicles per capita for Tanzania? wewe ni economist wa wapi ?
Wapi nimesema eti Kenya ni first world country? Kubali kwamba mna magari chache per capita compared to Kenya. Hata DRC wana gari nyingi per capita kuwashinda. Hamna magari nyinyi watu. Aibu kubwa sana hii halafu mnataka kushindana na sisi. Nunueni magari kwanza ndio mje battle. Wacheni ujinga.
 
Aawapi hizi source za kuungaunga huwezi nidanganya hata siku moja! Niletee source kwanza ya hii ripoti! Kwanza mabasi na malori hamtufikii hata kidogo!
Ahahaha. Unaniitisha source kwani mimi ndio nimepost habari hii? Mimi nainterpret tu hio data ili watu waielewe. Mambo ya source muulize aliyepost.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom