African Countries by number of Dollar Millionaires

Kwa akili yako ndogo unadhani uhuru or Ruto si billionaires?
Mali ya Kenyatta Ni mara kumi ya Dweji
Shamba pekee zinaworth billions,
Ni vile Forbes doesn't count politicians.
Shamba yake ya from kasarani hadi kiambu inaworth more than $1B
nimeshindwa kujizuia. hivi una umri gani? yani umeongea kama mtoto wa miaka 7 hadi 8 ambae hajanywa uji!
kwaiyo msingi wa hoja yako ni hisia zako? yani unauliza kama mtu "anadhani" Kenyatta na Ruto sio billionare! na hiyo nayo unaona point?
eti "mali ya Kenyatta ni mara kumi ya Dewji" sasa hayo makadirio ya 10 umeyafikiaje? kwanini sio 9 au 11?
"Shamba pekee zinaworth billions," je, hayo mashamba ni acre ngapi? hizo billions ni billioni ngapi na nani aliyeyatathmini?
Sijui kama unaona ujinga ulioandika?
 
So you believe you have more millionaires than Kenya yet your economy is almost half ours?
Number ya SA NG MORROC EGT zinaendana na economy zao,
But wajinga with half GDP,
nimeshindwa kujizuia. hivi una umri gani? yani umeongea kama mtoto wa miaka 7 hadi 8 ambae hajanywa uji!
kwaiyo msingi wa hoja yako ni hisia zako? yani unauliza kama mtu "anadhani" Kenyatta na Ruto sio billionare! na hiyo nayo unaona point?
eti "mali ya Kenyatta ni mara kumi ya Dewji" sasa hayo makadirio ya 10 umeyafikiaje? kwanini sio 9 au 11?
"Shamba pekee zinaworth billions," je, hayo mashamba ni acre ngapi? hizo billions ni billioni ngapi na nani aliyeyatathmini?
Sijui kama unaona ujinga ulioandika?
Yuko na 9,000 acres kasarani/mwiki.

1acre of land Ni ksh52million.

Piga hesabu zako mwenyewe ujue iyo land moja pekee inaworth how much.
(52,000,000×9000 = $4.4B.
 
Number ya SA NG MORROC EGT zinaendana na economy zao,
But wajinga with half GDP,

Yuko na 9,000 acres kasarani/mwiki.

1acre of land Ni ksh52million.

Piga hesabu zako mwenyewe ujue iyo land moja pekee inaworth how much.
(52,000,000×9000 = $4.4B.
Hivi unavunga au ni kweli huoni utopolo unaoongea?
unaweza kuthibitisha hizo ekari 9,000? na bei ya millioni 52 umeipatapataje?
BlietzKrieg ushauri wa bure, usiandike kila kinachokujia akilini. most of the time ni utoto
 
Number ya SA NG MORROC EGT zinaendana na economy zao,
But wajinga with half GDP,

Yuko na 9,000 acres kasarani/mwiki.

1acre of land Ni ksh52million.

Piga hesabu zako mwenyewe ujue iyo land moja pekee inaworth how much.
(52,000,000×9000 = $4.4B.
Niulize kua na shamba ambalo halizalishi nawe unakua billionaire?kwahyo hata mwenye kiwanda kisochofanya kazi nae ni billionaire,Mwenye kichwa kisichonaakili nae ni msomi pia
 
Hivi unavunga au ni kweli huoni utopolo unaoongea?
unaweza kuthibitisha hizo ekari 9,000? na bei ya millioni 52 umeipatapataje?
BlietzKrieg ushauri wa bure, usiandike kila kinachokujia akilini. most of the time ni utoto
Iyo ni bei ya ekari mwiki,
It's surrounded na estates tupu,chokaa,njiru,ruai,kasarani ,mwihoko etc,
Bei ya ekari Ni 52,000,000 Kenyan shillings,
Na Ni 9,000 acres yote,
Hapo akiamua kuuza plots 50/100 size juu Ni around 6million anapata zaidi ya $6billion
 
Pwahahaha usitufanye watoto sisi.
moguldom.com is the domain registered by Nubai Ventures.
And updated 24/11/2020.

This is the domain information. 🤣 🤣 🤣
View attachment 1634077View attachment 1634078View attachment 1634079View attachment 1634080
Inaonekana wewe ni mtoto aliejifunza kutumia internet juzi juzi sasa unataka kung'aria wenzako....... Wacha nikuingize darasani upate elimu zaidi kidogo ili next time uwe umejipanga vizuri.

Somo la siku

Kuanzia leo, ukisoma taarifa yoyote yenye takwimu, tafuta ni wapi wametoa hizo takwimu... Yani sources ya hio taarifa..... Taarifa ikisema Waziri mkuu amesema "blah blah blah" hayo maneno ya blah blah blah si maneno wala opinion ya gazeti, ni maneno yaliyo nukuliwa kutoka kwa waziri mkuu... Kwahivyo source ni waziri mkuu....

Hata wikipedia ambayo watu wengi hupenda kusema si ya kuaminika, kabla upinge, mwanzo enda hapo chini kabisa kwa reference utembelee hizo link za reference mwanzo.. Ukikosa reference ndo unaweza kukataa kuamini.....



Sasa turudi kwa mada, hio taarifa ya moguldom.com inasema hivi

1606415271515.png





Kwahivyo hapo unaona wamenukuu Source ya hizo Takwimu zimetoka kwa African Wealth Report ambayo ilianzikwa na New World Wealth na AfrAsia Bank, Sio moguldom.com ndo wametengeneza hio list ya milionea wa Africa..
Kwahivyo moguldom.com hawana uhusiano wowote na hio takwimu... Wewe umekimbilia kutafuta domain ownership ya moguldom.com wakati si hao ndo chanzo cha takwimu, wao wameripoti mambo yaliomo ndani ya African wealth report... KWahivyo kama unataka kubishana na hii taarifa, enda ukatafute mmiliki wa "New World Wealth" na "AfrAsia Bank" ambao ndo wako na hizo takwimu... Achana na moguldom.com

1606415604028.png




Source: https://newworldwealth.com/reports
 
Fake source, Frank Night ndo ana report yenye mantik.
Kwasababu inasupport Tanzania mwaka huu ? Ngoja Takwimu za mwaka ujao utaona vile Night Frank itashikwa na wazimu na kuregesha ma milionea wa Tanzania hadi 2,500, hapo utasema knight Frank sio ya kuaminika!
 
Iyo ni bei ya ekari mwiki,
It's surrounded na estates tupu,chokaa,njiru,ruai,kasarani ,mwihoko etc,
Bei ya ekari Ni 52,000,000 Kenyan shillings,
Na Ni 9,000 acres yote,
Hapo akiamua kuuza plots 50/100 size juu Ni around 6million anapata zaidi ya $6billion
Yani hapa unaongea hot air.
Majibu yako yanaibua maswali ambayo kama huna majibu yake na ukaendelea kung'ang'ania basi utakua punguani.
Kwanza Hizo ekari pamoja na umiliki wake zipo documented popote au ndo stori mnazopiga kwenye vijiwe vyenu vya kutafuna mirungi?
 
Inaonekana wewe ni mtoto aliejifunza kutumia internet juzi juzi sasa unataka kung'aria wenzako....... Wacha nikuingize darasani upate elimu zaidi kidogo ili next time uwe umejipanga vizuri.

Somo la siku

Kuanzia leo, ukisoma taarifa yoyote yenye takwimu, tafuta ni wapi wametoa hizo takwimu... Yani sources ya hio taarifa..... Taarifa ikisema Waziri mkuu amesema "blah blah blah" hayo maneno ya blah blah blah si maneno wala opinion ya gazeti, ni maneno yaliyo nukuliwa kutoka kwa waziri mkuu... Kwahivyo source ni waziri mkuu....

Hata wikipedia ambayo watu wengi hupenda kusema si ya kuaminika, kabla upinge, mwanzo enda hapo chini kabisa kwa reference utembelee hizo link za reference mwanzo.. Ukikosa reference ndo unaweza kukataa kuamini.....



Sasa turudi kwa mada, hio taarifa ya moguldom.com inasema hivi

View attachment 1635443




Kwahivyo hapo unaona wamenukuu Source ya hizo Takwimu zimetoka kwa African Wealth Report ambayo ilianzikwa na New World Wealth na AfrAsia Bank, Sio moguldom.com ndo wametengeneza hio list ya milionea wa Africa..
Kwahivyo moguldom.com hawana uhusiano wowote na hio takwimu... Wewe umekimbilia kutafuta domain ownership ya moguldom.com wakati si hao ndo chanzo cha takwimu, wao wameripoti mambo yaliomo ndani ya African wealth report... KWahivyo kama unataka kubishana na hii taarifa, enda ukatafute mmiliki wa "New World Wealth" na "AfrAsia Bank" ambao ndo wako na hizo takwimu... Achana na moguldom.com

View attachment 1635449



Source: Reports | New World Wealth
Haya ni matumizi mabaya ya ujinga.
Nakushauri rudi shule.
Ngoja wewe nikupatie shule. Udidhani sisi ni wapumbavu kama nyie.
Do you know godaddy.com!?
Professional websites don't register website by godaddy.com

godaddy.com is cheap for poor people like you to spread stupid propaganda.

Also the NS of the website you attached is the same NS ya mwanzilishi was hii thread.

Usituzingue.
Screenshot_20201127-062827.png
Screenshot_20201127-062912.png
 
1. South Africa - 39,200 millionaires
2. Egypt - 16,700 millionaires
3. Nigeria - 9,900 millionaires
4. Kenya - 8,600 millionaires
5. Morocco - 4,600 millionaires
6. Mauritius - 4,400 millionaires
7. Ethiopia - 3,200 millionaires
8. Angola - 3,200 millionaires
9. Ghana - 2,900 millionaires
10. Ivory Coast - 2,500 millionaires

HAWA WOTE COMBINED VS MASIKINI AFRIKA NZIMA.
 
1. South Africa - 39,200 millionaires
2. Egypt - 16,700 millionaires
3. Nigeria - 9,900 millionaires
4. Kenya - 8,600 millionaires
5. Morocco - 4,600 millionaires
6. Mauritius - 4,400 millionaires
7. Ethiopia - 3,200 millionaires
8. Angola - 3,200 millionaires
9. Ghana - 2,900 millionaires
10. Ivory Coast - 2,500 millionaires

HAWA WOTE COMBINED VS MASIKINI AFRIKA NZIMA.
Source? Stop being fake
 
Eti kunyaland ya 3, izo taarifa peleka kibera
1. South Africa - 39,200 millionaires
2. Egypt - 16,700 millionaires
3. Nigeria - 9,900 millionaires
4. Kenya - 8,600 millionaires
5. Morocco - 4,600 millionaires
6. Mauritius - 4,400 millionaires
7. Ethiopia - 3,200 millionaires
8. Angola - 3,200 millionaires
9. Ghana - 2,900 millionaires
10. Ivory Coast - 2,500 millionaires


 
Back
Top Bottom