Hellow to all great thinkers...!
Wandugu embu nisaidieni mawazo yenu hapo cause nahisi kuwa mwehu hapa....!
Mimi nilikuwa ni muajiriwa wa kampuni moja ya uchimbaji wa madini hapa Tz, nikawa nimebahatika kuitwa katika interview kwenye kampuni nyingne ya uchimbaji pia, nilifanikiwa kufanya usahili wangu vizuri na baada ya cku tatu walinipigia simu kwaajili ya kwenda kusain contract nilifika sehemu husika nikasaini mkataba na wakanipa na barua yangu ya offer as heavy duty mechanic nikamalizana nao vizuri, walichoniambia watanihitaji baada ya mwezi mmoja, nilichofanya mimi nikarudi nikawapa notice ya mwezi mmoja (resgnation) kampuni yangu ya zamani, tukaahidiana na hawa jamaa zangu wapya ambao ni AFRICAN BARRICK kuwa nitakapomalizana na kampuni yangu ya zamani niwajulishe ili niende nikaanze nao.
Till this time nishamalizana na kampuni ya zamani toka trh 25 Sept, nimekuqa nampigia cm HR yani (afisa muajiri) kila siku ananiambia kesho kesho mpaka sasa mimi kazi sina, nimebaki kuuangalia mkataba wangu na barua yangu ya offer, familia inanilaumu eti nimeacha kazi kwa kukurupuka, nisaidien nifanye nini?
Wandugu embu nisaidieni mawazo yenu hapo cause nahisi kuwa mwehu hapa....!
Mimi nilikuwa ni muajiriwa wa kampuni moja ya uchimbaji wa madini hapa Tz, nikawa nimebahatika kuitwa katika interview kwenye kampuni nyingne ya uchimbaji pia, nilifanikiwa kufanya usahili wangu vizuri na baada ya cku tatu walinipigia simu kwaajili ya kwenda kusain contract nilifika sehemu husika nikasaini mkataba na wakanipa na barua yangu ya offer as heavy duty mechanic nikamalizana nao vizuri, walichoniambia watanihitaji baada ya mwezi mmoja, nilichofanya mimi nikarudi nikawapa notice ya mwezi mmoja (resgnation) kampuni yangu ya zamani, tukaahidiana na hawa jamaa zangu wapya ambao ni AFRICAN BARRICK kuwa nitakapomalizana na kampuni yangu ya zamani niwajulishe ili niende nikaanze nao.
Till this time nishamalizana na kampuni ya zamani toka trh 25 Sept, nimekuqa nampigia cm HR yani (afisa muajiri) kila siku ananiambia kesho kesho mpaka sasa mimi kazi sina, nimebaki kuuangalia mkataba wangu na barua yangu ya offer, familia inanilaumu eti nimeacha kazi kwa kukurupuka, nisaidien nifanye nini?