Bally B
Senior Member
- Jul 11, 2010
- 143
- 17
Hii Kampuni ya uchimbaji madini ya African Barrick Gold kiukweli inaiujumu uchumi wa Tanzania Haiwezekani watu wafanye kazi Tanzania halafu mishahara yao ilipwe kutoka Afrika kusini,wakati huo huo tunalia ya kwamba hela ya tanzania inazidi kushuka thamani.Pia wafanyakazi wamekuwa wakilalamika kuchekeleweshewa mishahara yao wakati mwingine kuingiziwa katika banki isiyo kuwa ya mhusika,
Swali: Je Serikali yetu hii inalitambua hilo na kama inalitambua Inamkakati gani wa kuinua uchumi wetu kama fedha za kigeni zinaingia kwa namna hii uchumi utakua kweli,
Swali: Je Serikali yetu hii inalitambua hilo na kama inalitambua Inamkakati gani wa kuinua uchumi wetu kama fedha za kigeni zinaingia kwa namna hii uchumi utakua kweli,