GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Liberia ni Taifa lililoundwa na watumwa weusi kutoka Marekani, Waliporudi liberia walikuta wenyeji walianzisha Taifa lao ,Bendera ya liberia inafanana sana na ya Marekani
Samuel Doe yeye aliingia madarakani kwa kufanya mapinduzi kwa Raisi aliyekuwepo akiwaahidi wananchi nchi itakuwa ya asali na maziwa, Raia walimshangilia sana wakiona tangu nchi kupata uhuru wake Sasa wamepata Mzalendo Rais Samuel Doe
Samuel Doe alipoingia tu madarakani kitu cha kwanza akaanza kupambana na mawaziri wa awamu iliyomtangulia, Akawakusanya mawaziri wote akawapeleka Ufukweni yaani Beach, Akawavua Nguo zote Kila mmoja akamuegesha kwenye mti wake akawapiga risasi wote huku Raia wakishuhudia na kushangilia
Katika mauaji hayo ya mawaziri, Waziri aliyepona ni Ellen Johnson aliyekuwa waziri wa fedha kwa wakati huo, Ellen ingawa alipona lakini alipata taabu sana
Samuel Doe Kama kawaida ya watawala wa kuahidi nchi ya maziwa na asali Muda wote alikuwa akichungulia hazina au chungu cha fedha hivyo kuilazimisha Ellen Johnson alipoti Kila Siku Ikulu Kupanga matumizi ya Doe
Samuel Doe aliamua kupendelea kabila lake kwenye uongozi haijalishi Mtu wa kabila lake amesoma au La, Doe na watu wa kabila lake walikula bata na kudharau mamilioni ya waliberia
Kuna muda Samuel Doe alianza kukufuru kwa mauaji aliyokuwa akiyafanya kwa Kila Mtu aliyehisi ni mpinzani wake alifika muda akatamka " Mungu hawezi Kumpa Mtu kazi asiyoiweza "akimaanisha mauaji anayoyafanya ni halali kabisa
Nyuma ya Samuel Doe walikuwepo watu waliokuwa wanamwambia tupo nyuma yako mmoja wapo ni Prince Johnson aliyekuja kumsaliti baadae
Mambo ya Samuel Doe ni mengi, Lakini nahitimisha kwa mwisho wake ulikuwaje :
Baada ya kugoma ushauri toka kwa Rais Ellen Johnson ambaye wakati huo alikuwa waziri wa fedha uchumi Wa liberia uliyumba sana maisha yakaanza kuwa magumu, Ellen akiamua kukimbilia World Bank alikokuwa anafanya kazi awali na kuendelea na maisha yake
Prince Johnson Rafiki mkubwa wa Joe aliingia msituni na kuja kupindua nchi alichomfanyia Doe ili atoe pesa alikoficha alifanya yafuatayo
1.Alimkata Doe masikio yote mawili lakini Doe hakutoa pesa
2.Alimchuna ngozi ya uume Doe hakutoa pesa
3.Alimkata vidole vyote Doe hakuonyesha pesa
4.Akamkata uume Doe hakuonyesha pesa
5.Alimburuza mtaani mpaka akafariki
Leo hii Prince Johnson ameokoka na anatangaza injili
Ellen Johnson ni Rais mstaafu aliyekabidhi madaraka kwa George weah
Kuna mengi ya kujifunza kwa hawa watu wanaokusifu na kusema tupo Nyuma yako wengi ni wanafiki na waongo kuanzia maaskofu, mawaziri mpaka wachungaji na mashehe, Siku Ukigeuka unaweza usiwaone
Samuel Doe yeye aliingia madarakani kwa kufanya mapinduzi kwa Raisi aliyekuwepo akiwaahidi wananchi nchi itakuwa ya asali na maziwa, Raia walimshangilia sana wakiona tangu nchi kupata uhuru wake Sasa wamepata Mzalendo Rais Samuel Doe
Samuel Doe alipoingia tu madarakani kitu cha kwanza akaanza kupambana na mawaziri wa awamu iliyomtangulia, Akawakusanya mawaziri wote akawapeleka Ufukweni yaani Beach, Akawavua Nguo zote Kila mmoja akamuegesha kwenye mti wake akawapiga risasi wote huku Raia wakishuhudia na kushangilia
Katika mauaji hayo ya mawaziri, Waziri aliyepona ni Ellen Johnson aliyekuwa waziri wa fedha kwa wakati huo, Ellen ingawa alipona lakini alipata taabu sana
Samuel Doe Kama kawaida ya watawala wa kuahidi nchi ya maziwa na asali Muda wote alikuwa akichungulia hazina au chungu cha fedha hivyo kuilazimisha Ellen Johnson alipoti Kila Siku Ikulu Kupanga matumizi ya Doe
Samuel Doe aliamua kupendelea kabila lake kwenye uongozi haijalishi Mtu wa kabila lake amesoma au La, Doe na watu wa kabila lake walikula bata na kudharau mamilioni ya waliberia
Kuna muda Samuel Doe alianza kukufuru kwa mauaji aliyokuwa akiyafanya kwa Kila Mtu aliyehisi ni mpinzani wake alifika muda akatamka " Mungu hawezi Kumpa Mtu kazi asiyoiweza "akimaanisha mauaji anayoyafanya ni halali kabisa
Nyuma ya Samuel Doe walikuwepo watu waliokuwa wanamwambia tupo nyuma yako mmoja wapo ni Prince Johnson aliyekuja kumsaliti baadae
Mambo ya Samuel Doe ni mengi, Lakini nahitimisha kwa mwisho wake ulikuwaje :
Baada ya kugoma ushauri toka kwa Rais Ellen Johnson ambaye wakati huo alikuwa waziri wa fedha uchumi Wa liberia uliyumba sana maisha yakaanza kuwa magumu, Ellen akiamua kukimbilia World Bank alikokuwa anafanya kazi awali na kuendelea na maisha yake
Prince Johnson Rafiki mkubwa wa Joe aliingia msituni na kuja kupindua nchi alichomfanyia Doe ili atoe pesa alikoficha alifanya yafuatayo
1.Alimkata Doe masikio yote mawili lakini Doe hakutoa pesa
2.Alimchuna ngozi ya uume Doe hakutoa pesa
3.Alimkata vidole vyote Doe hakuonyesha pesa
4.Akamkata uume Doe hakuonyesha pesa
5.Alimburuza mtaani mpaka akafariki
Leo hii Prince Johnson ameokoka na anatangaza injili
Ellen Johnson ni Rais mstaafu aliyekabidhi madaraka kwa George weah
Kuna mengi ya kujifunza kwa hawa watu wanaokusifu na kusema tupo Nyuma yako wengi ni wanafiki na waongo kuanzia maaskofu, mawaziri mpaka wachungaji na mashehe, Siku Ukigeuka unaweza usiwaone