Africa needs a second wave of armed struggle to gain independence from fellow black dictators, murderers, human rights violators and colonialists!

Katika wimbo wake "Making History" mshairi wa dub reggae wa Uingereza, Linton Kwesi Johnson aliimba.

"Dictators get dethroned
New clowns are quickly found".

Hii ni dhana inayojirudia sana Africa.

Mfalme Idris wa Libya aliangushwa na Gaddafi. Gaddafi akajinadi kwamba ni mwanamapinduzi. Akasema haifai kwa kiongozi kuongoza muda mrefu hivyo.

Akaenda kutawala Libya kwa miaka 42.

Misri wamemuondoa Mubarak. Sasa aana Al-Sisi.

Uganda Museveni alianza kama mwanamapinduzi.

Sasa kawa the butt of jokes.

Tutaepukaje historia hii kujirudia tena na tena?

Maana karibu kila mwanasiasa anayetaka ukubwa anajifanya mwanamapunduzi.

Akishaupata anageuza kibao
 
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikteta among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention, but a few-Tanzania ikiwa kinara. (ongezea za WestAfrica), ni wazi kwa mwenendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!
Hili bara lina laana siyo bure
 
Katika wimbo wake "Making History" mshairi wa dub reggae wa Uingereza, Linton Kwesi Johnson aliimba.

"Dictators get dethroned
New clowns are quickly found".

Hii ni dhana inayojirudia sana Africa.

Mfalme Idris wa Libya aliangushwa na Gaddafi. Gaddafi akajinadi kwamba ni mwanamapinduzi. Akasema haifai kwa kiongozi kuongoza muda mrefu hivyo.

Akaenda kutawala Libya kwa miaka 42.

Misri wamemuondoa Mubarak. Sasa aana Al-Sisi.

Uganda Museveni alianza kama mwanamapinduzi.

Sasa kawa the butt of jokes.

Tutaepukaje historia hii kujirudia tena na tena?

Maana karibu kila mwanasiasa anayetaka ukubwa anajifanya mwanamapunduzi.

Akishaupata anageuza kibao
Dikteta wetu naye yupo njiani anajiandaa kubadili katiba atawale milele
 
Dikteta wetu naye yupo njiani anajiandaa kubadili katiba atawale milele
Hilo la kubadiki katiba ni speculations za watu tu.

Hata Kikwete walimsema hivi hivi, na sasa kastaafu.

Leteni hoja za msingi, zenye ushahidi, ambazo zipo nyingi tu.

Ukianza kuleta hizi habari za "anajiandaa..." bila ushahidi, na wewe unakuwa dikteta.

Una dictate tu mambo bila ushahidi.

Unampa haki na yeye kukufunga kidikteta kwa kusema wewe ulikuwa unajiandaa kumpindua.

Lete hoja zenye ushahidi tuzijadili. Zipo nyingi sana.

Hii habari ya "anajiandaa kubadili katiba atawale milele" ni speculation, si fact.
 
Hilo la kubadiki katiba nibsoeculations za watu tu.

Hata Kikwete walimsema hivi hivi, na sasa kastaafu.

Leteni hoja za msingi, zenye ushahidi, ambazo zipo nyingi tu.

Ukiqnza kuketq hizi habari za "anajiandaa..." bila ushahidi, na wewe unakuwa dikteta.

Una dictate tu mambo bila ushahidi.

Unampa haki na yeye kukufunga kidikteta kwa kusema wewe ulikuwa unajiandaa kumpindua.

Lete hoja zenye ushahidi tuzijadili. Zipo nyingi sana.

Hii habari ya "anajiandaa kubadili katiba atawale milele" ni speculation, si fact.
Mpuuzi nini wewe siku ile Ndugai anasema tutamulazimisha ulikuwa bado mdogo?
 
Mpuuzi nini wewe siku ile Ndugai anasema tutamulazimisha ulikuwa bado mdogo?
Magufuli alishasema hataongeza muda, unataka afanye nini ili ukubali kwamba hataongeza muda?

Na kama hujaweza kumzuia asimpachike kibaraka wake kuendeleza mambo yake, kwa nini kuongeza muda kuwe ni jambo la muhimu?

Suppose you are right and I am wrong, anataka kuongeza muda, ukamzuia.

Hilo linamzuia vipi kumpachika kibaraka wake atakayeendeleza mambo yake, halafu yeye astaafu na kuendesha nchi kwa remote control?

Kwa nini una focus kwenye mtu mmoja badala ya mfumo?

Kwa nini una focus kwenye speculations na mamneno ya Ndugai mchumia tumbo, badala ya facts na maneno ya Magufuli?

Kwa nini unahemuka na mtu mmoja, Magufuli, badala ya kuangalia namna ya kumzuia rais yeyote kutumia madaraka yake vibaya?
 
Patrick Henry once said, "Is life so dear, or peace so sweet, as to be purchased at the price of chains and slavery? Forbid it, Almighty God! I know not what course others may take; but as for me, give me liberty or give me death!"

Baada ya Marekani kupata uhuru July 1776 toka kwa Mwingereza, Wamarekani weusi wakajikuta kumbe uhuru ni wa weupe. Ndipo Henry, Mmarekani Mweusi, mwanaharakati, alitamka maneno hayo hapo juu.

Kwa tafsir isiyo rasmi: "Je, uhai ni muhimu sana, au amani ni tamu sana, hata kwa gharama ya minyororo na utumwa, Mwenyezi Mungu aepushie mbali! Sijue wengine watachagua lipi, ila kwangu mimi, nipe uhuru ama niue."


 
Baada ya Marekani kupata uhuru July 1776 toka kwa Mwingereza, Wamarekani weusi wakajikuta kumbe uhuru ni wa weupe. Ndipo Henry, Mmarekani Mweusi, mwanaharakati, alitamka maneno hayo hapo juu.

Kwa tafsir isiyo rasmi: "Je, uhai ni muhimu sana, au amani ni tamu sana, hata kwa gharama ya minyororo na utumwa, Mwenyezi Mungu aepushie mbali! Sijue wengine watachagua lipi, ila kwangu mimi, nipe uhuru ama niue."
Sahihisho.

Patrick Henry hakuwa mweusi.

Alikuwa mweupe, alikuwa na watumwa, na alifariki akiwa na watumwa 67

Maneno yake yachukulie kwa muktadha.


 
Magufuli alishasema hataongeza muda, unataka afanye nini ili ukubali kwamba hataongeza muda?

Na kama hujaweza kumzuia asimpachike kibaraka wake kuendeleza mambo yake, kwa nini kuongeza muda kuwe ni jambo la muhimu?

Suppose you are right and I am wrong, anataka kuongeza muda, ukamzuia.

Hilo linamzuia vipi kumpachika kibaraka wake atakayeendeleza mambo yake, halafu yeye astaafu na kuendesha nchi kwa remote control?

Kwa nini una focus kwenye mtu mmoja badala ya mfumo?

Kwa nini una focus kwenye speculations na mamneno ya Ndugai mchumia tumbo, badala ya facts na maneno ya Magufuli?

Kwa nini unahemuka na mtu mmoja, Magufuli, badala ya kuangalia namna ya kumzuia rais yeyote kutumia madaraka yake vibaya?
Mnamchukia sana uncle, sishangai, all for good, hata Gadaff alichukiwa sana , najua utasema now issue za political vacuum ila binadam huwez mlidhisha
 
Mnamchukia sana uncle, sishangai, all for good, hata Gadaff alichukiwa sana , najua utasema now issue za political vacuum ila binadam huwez mlidhisha
Mimi siongelei mtu, naongelea hoja.

Siongelei Magufuli.

Naongelea urais.

Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
 
Mimi siongelei mtu, naongelea hoja.

Siongelei Magufuli.

Naongelea urais.

Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.
😂😂😂🙉🙈 Sikujua uelewa wako n mdogo hivo, kumbe unahisi matumizi ya kuogelea watu, events na ideas ndo Kama hivoo, 😂😂, bro Kama unawasiwasi na mm tukapime IQ😋
 
Sikujua uelewa wako n mdogo hivo, kumbe unahisi matumizi ya kuogelea watu, events na ideas ndo Kama hivoo, , bro Kama unawasiwasi na mm tukapime IQ
Kupima IQ ni habari za kukariri ujinga tu.

Msome Jared Diamond katika "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies".

This Pulitzer winning book covered how IQ measurement is a totally arbitrary fabrication.

Soma kitabu, pata elimu, halafu rudi tujadiliane.
 
Kupima IQ ni habari za kukariri ujinga tu.

Msome Jared Diamond katika "Guns, Germs and Steel: The Fates of Human Societies".

This Pulitzer winning book covered how IQ measurement is a totally arbitrary fabrication.

Soma kitabu, pata elimu, halafu rudi tujadiliane.
Ndugu vitabu vyote hvyo Kama assignment ya sjui wanaosoma art zao huko, at least ingekuwa vinahusu uchumi ningevifuatilia# kuhusu issue ya sjui kuwa na background ya elm flan ya siasa au kupitia vitabu vingiii, that doesn't matter ndo maana Eng mwenzetu ndo anaongoz nchi na sio wenye PhD za political science sjui huko, yeye General studies zake utakuta ilikuwa deferentiation & intergration huko# but mkuu Thanks umenichallenge , nimeapriciate Jf Kuna clitical thinker coz hujanitolea lugha mbaya umenielewesha though mawazo yetu wote yapo biased na itikadi za kisiasa, big up br ( Kama n manz very sorry kwa kukuita br)#
 
Ndugu vitabu vyote hvyo Kama assignment ya sjui wanaosoma art zao huko, at least ingekuwa vinahusu uchumi ningevifuatilia# kuhusu issue ya sjui kuwa na background ya elm flan ya siasa au kupitia vitabu vingiii, that doesn't matter ndo maana Eng mwenzetu ndo anaongoz nchi na sio wenye PhD za political science sjui huko, yeye General studies zake utakuta ilikuwa deferentiation & intergration huko# but mkuu Thanks umenichallenge , nimeapriciate Jf Kuna clitical thinker coz hujanitolea lugha mbaya umenielewesha though mawazo yetu wote yapo biased na itikadi za kisiasa, big up br ( Kama n manz very sorry kwa kukuita br)#
Kitabu hujakisoma, hata hujquliziq kinahusu nini.

Halafu unasema at least ingekuwa kinahusu uchumi ungekifuatilia.

Wewe ni ngumbaru mvivu.
 
Kitabu hujakisoma, hata hujquliziq kinahusu nini.

Halafu unasema at least ingekuwa kinahusu uchumi ungekifuatilia.

Wewe ni ngumbaru mvivu.
Bro nna vitabu kibao vya kiuchumi nilivyojipangia kujisomea, siasa n just sehemu ndogo sana, ko na hzo issue za art nyingne out of economics baadae bro nikimaliza yangu, s unajua tunatodautiana interests# mfano Kuna br angu anasoma sana issue za anga na history yeke + science yake, but for my side better nikajifunza kufuga kuku hilo liwe ziada coz n interest tuu, so usione mtu k2 flan upo vzr zaid yake, Kuna Kona bro unaweza kuta hunifikii hata robo, uzur hatujuani ungeona ukwel wa ninayosema#
 
Bro nna vitabu kibao vya kiuchumi nilivyojipangia kujisomea, siasa n just sehemu ndogo sana, ko na hzo issue za art nyingne out of economics baadae bro nikimaliza yangu, s unajua tunatodautiana interests# mfano Kuna br angu anasoma sana issue za anga na history yeke + science yake, but for my side better nikajifunza kufuga kuku hilo liwe ziada coz n interest tuu, so usione mtu k2 flan upo vzr zaid yake, Kuna Kona bro unaweza kuta hunifikii hata robo, uzur hatujuani ungeona ukwel wa ninayosema#
Wewe hata utashi wa kuelewa relevance ya hicho kitabu kwenye mazungumzo haya ni ipi huna.
 
Afrika haiwezi endelea sababu haina mifumo ya uongozi bora tofauti na wenzetu. Afrika yeyote tu anaweza akawa kiongozi hata muhuni tu anaweza akawa kiongozi. Thus kuna madikteta ( zao la ukosefu wa malezi Bora utotoni).

Udikteta hujengwa utotoni Afrika hawastudy background ya mtu Ili kujua ni mtu wa aina gani,thus hata muhuni anawezakuwa kiongozi. Wenzetu wapo makini na hufanya vetting ya kutosha kujua Hadi jinsi ulivyolelewa. Lengo kuu ni kuepusha watawala wezi, wauaji,waua uchumi,primitive, uncivilized,nk.
Magufuli alilelewa vipi utotoni ?
Mbona ana roho nzuri sana ya kibinadamu hadi anawapa Chadema viti 19
 
Back
Top Bottom