Kwa maelezo take na sababu alizozitoa Mimi namuunga mkono kwa 100% wewe je?
1. Rais Wa Zimbabwe
2. Rais Wa Burundi na yanayoendelea huko
3. Rais Wa Uganda na yanayoendelea kwa wapinzani
4. Rais wa Gambia aliyeshindwa akataa matokeo
5. Uchaguzi wa Zanzibar wafutwa
6. Rais wa Ivory Coast afikishwa mahakama ya uhalifu ICC
7. Yanayoendelea konngo na kusababisha RAIA kuwa wakimbizi
hiyo ni mifano tu na inatosha kuharariha nia ya Trump kuwashughulikia viongozi Wa Afrika na ile ya Afrika must be colonized again
1. Rais Wa Zimbabwe
2. Rais Wa Burundi na yanayoendelea huko
3. Rais Wa Uganda na yanayoendelea kwa wapinzani
4. Rais wa Gambia aliyeshindwa akataa matokeo
5. Uchaguzi wa Zanzibar wafutwa
6. Rais wa Ivory Coast afikishwa mahakama ya uhalifu ICC
7. Yanayoendelea konngo na kusababisha RAIA kuwa wakimbizi
hiyo ni mifano tu na inatosha kuharariha nia ya Trump kuwashughulikia viongozi Wa Afrika na ile ya Afrika must be colonized again