babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,087
- 15,981
ndio hivyo mkuu,kwa wenzetu kibabu kama hiki kinahudumiwa kila kitu mpaka kupelekwa ****** na serikali,lakini sisi huko watu ni kupiga dili tu,kodi tunazolipa sijui zinaenda wapi,ndo zilitakiwa zihudumie wazee hawa wakifika umri huudah kweli africa mbaya lakini ndo kwetu,yahitaji tujinyanyuee wenyewe
huyu mama huu mzigo wote na mtoto juu, kweli afrika kuna tabaka kubwa sana kati ya maskini na mwenye nazoHii Ndio Africa yetu na Tanzania pia
huyu mama huu mzigo wote na mtoto juu, kweli afrika kuna tabaka kubwa sana kati ya maskini na mwenye nazo
Hawa hawana jinsi ila kuna nyingine tunajitakia kuna mama mmoja ana kisima anauza maji kwa majirani zake kwa adha ya kubeba ndoo kichwani majirani wamejinunulia mipira ili iwe rahisi kwao kupata maji yule mama hataki anataka kuona ndoo bombani, eti watamuibia shame!Hii Ndio Africa yetu na Tanzania pia
huyu mama huu mzigo wote na mtoto juu, kweli afrika kuna tabaka kubwa sana kati ya maskini na mwenye nazo
Kwa wale ambao maisha haya ni mageni kwenu, huyo mama kabeba kuni za miti fulani miepesi sana...usione ukubwa cha muhimu uzito.Hawa hawana jinsi ila kuna nyingine tunajitakia kuna mama mmoja ana kisima anauza maji kwa majirani zake kwa adha ya kubeba ndoo kichwani majirani wamejinunulia mipira ili iwe rahisi kwao kupata maji yule mama hataki anataka kuona ndoo bombani, eti watamuibia shame!
Kwa wale ambao maisha haya ni mageni kwenu, huyo mama kabeba kuni za miti fulani miepesi sana...usione ukubwa cha muhimu uzito.
Hii Ndio Africa yetu na Tanzania pia
...Lakini si ndio hawa hawa unapofika uchaguzi wakapewa kanga, vilemba na pilau wanasema hakuna kama Nambari wani????huyu mama huu mzigo wote na mtoto juu, kweli afrika kuna tabaka kubwa sana kati ya maskini na mwenye nazo