Una macho na umeona halafu bado unauliza njia, tukikuita kichaa tutakuwa tunakosea?Nimeingizwa kwenye kundi linaitwa AFRIC INVESTMENT, wanataka niinguze hela na kuvuna kwa utaratibu kama ule wa DECI.
Anayelifahamu kundi hili atujuze, naona dalili ya kupigwa!!