The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Akiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.