Afisa wa TRA amenikera, anadai serikali haitambui biashara na mtu wa Congo

haya bwana mkuu nimekubali. Usisahau kwamba huu uelewa wako ndio wengi wanautegemea katika kujenga Tanzania ya viwanda!
Nakukumbusha tu kuwa makampuni mengi yaliyotuhumiwa na serikali hii hii ya JPM kukwepa kodi na kuiba makontena bandarini hakukuwa hata na kampuni moja ndogo.
Ni kweli mdau, ila lengo la serikali ni kuzipunguza kampuni za clearing and forwarding kwa kuziwekea VAT kwa huduma wanazotoa ili badae zibaki chache ambazo serikali itaweza kuzisimamia vizuri ili kupunguza ukwepaji kodi bandarini.
Kampuni za clearing and forwarding ni nyingi mno na kuna baadhi ya watu wanamiliki kampuni zaidi ya tatu hadi tano, na hizo zingine hao watu wanatumia maalum kwa kukwepa kodi tu.
 
Ni kweli mdau, ila lengo la serikali ni kuzipunguza kampuni za clearing and forwarding kwa kuziwekea VAT kwa huduma wanazotoa ili badae zibaki chache ambazo serikali itaweza kuzisimamia vizuri ili kupunguza ukwepaji kodi bandarini.
Kampuni za clearing and forwarding ni nyingi mno na kuna baadhi ya watu wanamiliki kampuni zaidi ya tatu hadi tano, na hizo zingine hao watu wanatumia maalum kwa kukwepa kodi tu.
Kwani hizi kampuni za clearing huwa zinaingiaje kwenye biashara hii? Ni kweli kwamba unaamka asubuji unaamua kuendesha hii kampuni na unaiendesha tu!? Wanapataje leseni hadi kufikia hatu kwamba wanakwepa kodi na serikali haiwezi kuwadhibiti kwa sheria nyingine bali 'kuvunja sheria' za kimataifa!?
 
Kwani hizi kampuni za clearing huwa zinaingiaje kwenye biashara hii? Ni kweli kwamba unaamka asubuji unaamua kuendesha hii kampuni na unaiendesha tu!? Wanapataje leseni hadi kufikia hatu kwamba wanakwepa kodi na serikali haiwezi kuwadhibiti kwa sheria nyingine bali 'kuvunja sheria' za kimataifa!?
Mtu mmoja anaweza kuwa na kampuni za clearing and forwarding zaidi ya moja hadi tano na baadhi kati ya hizo akawa anatumia kukwepa kodi tu.
Kipindi cha nyuma kabla ya ajaingia Rais JPM TRA kitengo cha CUSTOM kulikuwa na madudu ya ajabu kazini na ndio hao hao maafisa wa TRA kitengo cha CUSTOM walikuwa wanashirikiana na hao wamiliki wa hizo kampuni za clearing and forwarding kukwepa kodi, kwa kuwasaidia kuzisajili kampuni nyingine kwa kuwa TRA kitengo cha Custom ndio wasajili wa hizo kampuni za clearing and forwarding kwa kigezo cha kuwa na bond kubwa.
Na pia mdau unatakiwa ujue kwamba kampuni nyingi za clearing and forwarding wamiliki wake ni hao hao maafisa wa TRA, na inatakiwa serikali kupitia wizara ya fedha iwe makini kwenye hilo zoezi kwani hao maafisa wa TRA ndio watakuwa wa kwanza kulihujumu hilo zoezi la kuweka VAT kwenye huduma za clearing and forwarding.
 
Back
Top Bottom