Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 936
- 1,664
Ndugu Wanajamiiforums Naomba kujua hili maana huyu afisa wa Vitambulisho Vya Taifa Nida amenihangaisha sana Sijui ni sahihi kutumia lugha hiyo. Lakini sijui kama kuna mwingine anapitia changamoto Kama hii au ndio mfumo wa Nida usiotaka kusikiliza kwangu tu? Nilijiandikisha Nida 2018 kwa majina Matatu sawa na sheria inavyoelekeza
Lakini sasa kulingana na Mambo ya kifamilia nikaona si vyema ni tumie Ubini wa katikati nikataka Kubadilisha Nikaenda Nida Wakanituma majina ninayo yataka niwapelekee kilelezo viwili au vitatu nikawapelekea cheti cha kuzaliwa, cha ubatizo na deed poll ya kukana hayo majina na nikalipia 20k nikasubiri wakatuma makao Makuu Nida. Nimerudi wananiambia bado cha shule sasa kwa bahati mbaya sina hicho chenye majina ninayo yataka elimu ya Msingi nilisoma na majina ambayo hayapo hayapo Nida wala kwenye Deep poll.
Je, nikiwapelekea hicho cheti cha elimu ya Msingi watakubali au danadana zitaendelea tu naombeni msaada wenu kwa wenye uelewa na haya maswala
Lakini sasa kulingana na Mambo ya kifamilia nikaona si vyema ni tumie Ubini wa katikati nikataka Kubadilisha Nikaenda Nida Wakanituma majina ninayo yataka niwapelekee kilelezo viwili au vitatu nikawapelekea cheti cha kuzaliwa, cha ubatizo na deed poll ya kukana hayo majina na nikalipia 20k nikasubiri wakatuma makao Makuu Nida. Nimerudi wananiambia bado cha shule sasa kwa bahati mbaya sina hicho chenye majina ninayo yataka elimu ya Msingi nilisoma na majina ambayo hayapo hayapo Nida wala kwenye Deep poll.
Je, nikiwapelekea hicho cheti cha elimu ya Msingi watakubali au danadana zitaendelea tu naombeni msaada wenu kwa wenye uelewa na haya maswala