Afisa Utumishi wilaya ya Tarime atumbuliwa

mahutu

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
766
556
Habari za hivi punde...

Afisa Utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi, sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu.

Vilevile Mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji.

Je? Huyu Afisa Utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii?

My take: Siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyewe nini mawazo yako.
 
Habari za hivi punde...



Afisa utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi.....sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanao takiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara....mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu...

Vilevile mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji...


Je? Huyu afisa utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii.....

My take...siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyew...nini mawazo yako
Mawazo yangu yatasaidia nn....???
 
Hawa watu: maafisa utumishi, makatibu afya, maafisa elimu serikalini huwa ni miungu watu! Untouchable....! Hongera sana mh. JPM kwa kurejesha nidhamu ya watumishi, "wapange huko juu sisi huku chini tutajipanga"
 
Habari za hivi punde...

Afisa Utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi, sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu.

Vilevile Mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji.

Je? Huyu Afisa Utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii?

My take: Siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyewe nini mawazo yako.
Nonsense, amempa nafasi ya kujieleza? Watu wanafukuzwa bila kupewa muda ya kujieleza ....... Audi Alteram Partem
 
Habari za hivi punde...

Afisa Utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi, sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu.

Vilevile Mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji.

Je? Huyu Afisa Utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii?

My take: Siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyewe nini mawazo yako.
Kwan kuna ongezeko la Mshahara ?
 
Habari za hivi punde...

Afisa Utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi, sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu.

Vilevile Mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji.

Je? Huyu Afisa Utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii?

My take: Siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyewe nini mawazo yako.
ulivyobandika yaonesha wewe ni mtumishi wa halmashauri hiyo, nikujuze tu:
Mkurugenzi hana mamlaka ya kumtumbua afisa utumishi.
Hakuna hospital yoyote yenye daktari wa kitengo cha upasuaji bali huwa ni zamu za mzunguko kwa vitengo vyote, say what you want to say. idios.
 
ulivyobandika yaonesha wewe ni mtumishi wa halmashauri hiyo, nikujuze tu:
Mkurugenzi hana mamlaka ya kumtumbua afisa utumishi.
Hakuna hospital yoyote yenye daktari wa kitengo cha upasuaji bali huwa ni zamu za mzunguko kwa vitengo vyote, say what you want to say. idios.

Mkuu unategemea Surgeon kitengo chake kiwe kipi? Au wote tu wanazunguka?
 
mtoa poa alitaka kupima presha2 za wafanyakaz wanaoshnda jf kujua nn kinaendelea u2mish juu ya mustakabali wa maisha yao ya u2mish make wamechoka ile mbaya! siku hz ukienda baa ukimwona mfanyakaz wa serikal ujue huyo anafanyanyia mashirika ya uma kama vle,TRA,BANDARI,TANAPA,UHAMIAJ,TANESCO,IDARA YA MAJ na wale wanaofanyia halmashaur kama vile MHASIBU WA HALMASHAUR,MWANASHERIA WA HALMASHAUR na wengne kama hao lkn wale wazee wa kushka chaki wamechoka mpaka huruma kwan mikopo imewatait na mishahara kiduchu na hakuna nyongeza kama shamej yao alivyowazoesha! ndio maana kunawengne washa bun mbinu mpya ya kujikimu kama kuendesha boda2,bajaj hapo2 serikal bado inawabania tena! kiukwel wanateswa make kunajamaa yangu nashnda nae kijiwe akipga deiwaka ya kuendesha bajaj anasema kuna ahuen ya maisha lkn wanabanwa muda. Magu utawauwa walimu kwa ukatil unaowafanyia kama vile hujui adha ya h kada?
 
Moja ya halmashauri za hovyo kabisa nchini...ni halmashauri ya mji-Tarime..

kila idara pale ni uozo mtupu..kujuana na rushwa ya ngono vimekithiri mno....

Idara mbovu kabisa kuliko zote ni Elimu...hasa sekondari...pale kuna maafisa elimu takribani 6 cha ajabu hawana pa kukaa, mmoja akiwa anatumia kiti mwingine anakuwa nje anajifanya kuzuga...


NI kweli Afisa utumishi alikuwa mzigo, lakini mizigo mikubwa zaidi ni Afisa elimu sekondari na mtaaluma wake.
 
Habari za hivi punde...

Afisa Utumishi wilayani Tarime ametumbuliwa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo leo saa nne asubuhi, sababu zilizo pelekea kutumbuliwa kwa kiongozi huyo ni kuchelewesha kwa makusudi majina ya watumishi wanaotakiwa kupandishwa madaraja na majina ya watumishi halali ili waweze kuingizwa kwenye utaratibu wa nyongeza ya mishahara mwisho wa kutuma majina hayo ilikua trh 02 mwezi huu.

Vilevile Mkurugenzi amemsimamisha kazi daktari mmoja kitengo cha upasuaji kwa tuhuma za kuomba rushwa toka kwa ndugu wa mgonjwa aliye takiwa kufanyiwa upasuaji.

Je? Huyu Afisa Utumishi alikua na nia gani na watumishi wa wilaya hii?

My take: Siyo kila anaetumbuliwa anaonewa wengine wanajitakia wenyewe nini mawazo yako.
Mkuu ninaomba jina la huyo Mkurugenzi...........ninataka nitete naye jambo .....
 
Kwani vyeo vimeanza kupandwa tena? Na mishahara imeanza kuongezwa?

Aangalie huyo mkurugenzi nae asijeakatumbuliwa kwa kwenda kinyume na mtumbuaji mkuu wao!

Ndio maandalizi ya kupandisha madaraja na mishahara, huyuo Mkurugenzi wa Halmashauri ametekeleza wajibu wake kwa mujibu wa utumishi wa umma
 
Back
Top Bottom