AFISA UTUMISHI afikishwa MAHAKAMANI kwa RUSHWA ya NGONO.

amakyasya

JF-Expert Member
Jun 26, 2013
3,480
907
Wana JF;

Afisa utumishi wa wilaya ya Ilemela amefikishwa mahakamani leo kwa tuhuma ya kuomba rushwa ya ngono kwa mwalimu aliyekuwa anahitaji uhamisho. Source Star Tv.

Hivi hizi rushwa za staili tofauti tofauti mahali mbalimbali pa kazi na sehemu za kupata huduma za kijamii zitaishaishaje wakuu?
 
Hivi watumishi wa aina hii wamekosa uzalendo na utu au ndo kuendekeza tamaa za kishenzi? Yaani mtu huwezi kutoa huduma anayostahili mtu kisheria na kikatiba mpaka upewe rushwa!
 
Je, kuna uthibitisho hata kama ilikuwa kweli? Ijapokuwa ni kweli kuna rushwa ya ngono akini kuna wakati akina dada hufanya hiyi kama silaha ya kumnasa adui yake. Je, kama huyo mwalimu angependa kufanya naye uasherati huo angesema? Nauliza tu jamani. Kwahiyo hoja inayotaka kujengwa hapa ni kwamba kwa kuwa alimkatalia ndiyo maana ombi lake likatupwa. Haya bana. Tusubiri mahakama itasemaje.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Je, kuna uthibitisho hata kama ilikuwa kweli? Ijapokuwa ni kweli kuna rushwa ya ngono akini kuna wakati akina dada hufanya hiyi kama silaha ya kumnasa adui yake. Je, kama huyo mwalimu angependa kufanya naye uasherati huo angesema? Nauliza tu jamani. Kwahiyo hoja inayotaka kujengwa hapa ni kwamba kwa kuwa alimkatalia ndiyo maana ombi lake likatupwa. Haya bana. Tusubiri mahakama itasemaje.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Mkuu hilo nalo neno! Ni kweli kwamba kuna wakati baadhi ya akina dada wanawatega waajiri ili kufanikisha masuala yao. Na pia ni kweli kwamba teacher angekubali tendo hilo, hii taarifa isingekuwepo. Lakini pia ni kweli kwamba waajiri au maboss wengi wanatumia nafasi zao kuomba rushwa then ndo watoe huduma.
 
Mkuu hilo nalo neno! Ni kweli kwamba kuna wakati baadhi ya akina dada wanawatega waajiri ili kufanikisha masuala yao. Na pia ni kweli kwamba teacher angekubali tendo hilo, hii taarifa isingekuwepo. Lakini pia ni kweli kwamba waajiri au maboss wengi wanatumia nafasi zao kuomba ruswa then ndo watoe huduma.
kama alitoa taarifa kunako husika ina maana hakuta kutoa hiyo rushwa, pili kama alikuwa anataka kumdaka adui yake, sheria italiona hilo kwa kutokuwepo maombi yake ya uhamisho. kama yalikuwepo basi naye afisa utumishi/ajira alikuwa anatakiwa kuwa mwangalifu kwa kumpa uhamisho wake kwanza, na kutokulihusisha jambo hilo la uhamisho na matamanio yao au yake
 
Hii ccm inafuga kila haina ya takataka tufanyeni mapinduzi ya hali ya juu maana wenye maamuzi wameshindwa kutla maamuzi sasa tuwaonesheni maamuzi yetu 2015 kwakupiga kura na kuichagua cdm itatufikisha pale tunapotaka kufika kuliko kuwa na mateja,mafisadi,majambazi na magaidi katika nchi yenye matunda na neema iliyojaliwa na Mwenyezi MUNGU.
 
Huyu mwalimt alijipanga kweli, najiuliza aina ya ushahidi kwenye kesi hii utakuwaje, Ni video,audio au picha,anyway ngoja tuiachie mahakama.
 
Huyo atakuwa ni gamba sugu...hawa maccm yametuharibia nchi...utu umeiaha kabisa ona hilo gamba linaomba rushwa ya ngono.
 
Hivi watumishi wa aina hii wamekosa uzalendo na utu au ndo kuendekeza tamaa za kishenzi? Yaani mtu huwezi kutoa huduma anayostahili mtu kisheria na kikatiba mpaka upewe rushwa!
Wewe bakia na ugamba wako..magamba yanapenda kuteteana sana.
 
Wewe bakia na ugamba wako..magamba yanapenda kuteteana sana.
Baba yao ni mmoja alafu mama yao anaasili ya kichina na ndiyo maana wanafanana tabia mpaka malizao jinsi walivyo vuna na kuwazurum watanzani na kuwatia ujinga wa madawa tuwe mazuzu yasiyo jua chochote dunia hii. Ona leo zinafaidika familia tatu mpaka nne wakiacha watanzania wanateketea na madawa yao wana jf tushikamane bila uwoga na bila kuangali wewe ni nani na wachama gani tushilikiane kuwataja na kuwaumbua pale wanapojifanya wema na kutaka kura zetu
 
Inawezekana ikasaidia lakini nadhani itafutwe adhabu kali zaidi ili kukomesha hizi rushwa maana zimezagaa sehemu nyingi sana za kupatia huduma muhimu za kijamii.

Tuanze na ofisi ya rais Ikulu then kila kitu kitanyooka bila shaka!
 
Je, kuna uthibitisho hata kama ilikuwa kweli? Ijapokuwa ni kweli kuna rushwa ya ngono akini kuna wakati akina dada hufanya hiyi kama silaha ya kumnasa adui yake. Je, kama huyo mwalimu angependa kufanya naye uasherati huo angesema? Nauliza tu jamani. Kwahiyo hoja inayotaka kujengwa hapa ni kwamba kwa kuwa alimkatalia ndiyo maana ombi lake likatupwa. Haya bana. Tusubiri mahakama itasemaje.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Labda ushahidi wa mazingira tu!ilibidi huyo aliyeombwa rushwea hiyo ya "konyee"akutwe laivu na muombaji ili haki itendeke.
 
Mkuu hilo nalo neno! Ni kweli kwamba kuna wakati baadhi ya akina dada wanawatega waajiri ili kufanikisha masuala yao. Na pia ni kweli kwamba teacher angekubali tendo hilo, hii taarifa isingekuwepo. Lakini pia ni kweli kwamba waajiri au maboss wengi wanatumia nafasi zao kuomba ruswa then ndo watoe huduma.

Saaasa!kama ni wewe mwalimu anakuja na kimin itakuwaje?
 
Back
Top Bottom