WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
subiri redio na tv zinatatngaza,lakini sisi ni wahumuhumu
Ninachojua Muosha naye huoshwa.
Huyu ofisa uhamiaji Albert Buchafwe naye aliwahi kukumbwa na kashfa kama hiyo anayomtuhumu huyo Askari huko wilayani Geita ambapo alikamatwa akiwa na mke wa mtu na alifanyiwa matendo mabaya sana si vyema sana kuyasema humu ndani!,
Na historia yake inaonyesha kwamba naye ni mwingi wa habari na hasa kasha za wake wa watu anazo sana hilo hata yeye analijua,na kama ana kesi ya kutalikiana na huyo mwanamke basi atakuwa ni mke wa tatu kufanya hivyo.
Aliwahi kumtolea bastola askari mmoja wa Geita baada ya kumtuhumu kwamba anatembea na mkewe na miwsho wa siku aliachana na mkewe huyo na kuoa mke mwingine,baadaye tena taarifa zinasema alioa mke mwingine ambaye taarifa zinadai waliachana sasa huyu tena wana kesi ya kutalikiana,hii ni hatari.
Ni mtu ambaye hajatulia anapenda sana chini na kesi zake nyingi yeye ni hizo za wanawake tu,sasa atambue kwamba ukizoea kula vya wenzako ujue na vyako vinaliwa ama vitaliwa,na hata kashfa iliyopelekea akahamishiwa mwanza ni baada ya kukamatwa ugoni na jamaa moja ambalo lilikuwa likifanya kazi kwenye shirika moja linalotengeneza matairi ya magari.
Ingawa jamaa alimfanyia kitu mbaya sana iliyosababisha aombe uhamisho kwenda mwanza hata yeye anajua hilo.
Alipigwa na kitu kizito!!! Tume nyingine iundwe kuchunguza!!!
ngoma drooNinachojua Muosha naye huoshwa. Huyu ofisa uhamiaji Albert Buchafwe naye aliwahi kukumbwa na kashfa kama hiyo anayomtuhumu huyo Askari huko wilayani Geita ambapo alikamatwa akiwa na mke wa mtu na alifanyiwa matendo mabaya sana si vyema sana kuyasema humu ndani!, Na historia yake inaonyesha kwamba naye ni mwingi wa habari na hasa kasha za wake wa watu anazo sana hilo hata yeye analijua,na kama ana kesi ya kutalikiana na huyo mwanamke basi atakuwa ni mke wa tatu kufanya hivyo. Aliwahi kumtolea bastola askari mmoja wa Geita baada ya kumtuhumu kwamba anatembea na mkewe na miwsho wa siku aliachana na mkewe huyo na kuoa mke mwingine,baadaye tena taarifa zinasema alioa mke mwingine ambaye taarifa zinadai waliachana sasa huyu tena wana kesi ya kutalikiana,hii ni hatari. Ni mtu ambaye hajatulia anapenda sana chini na kesi zake nyingi yeye ni hizo za wanawake tu,sasa atambue kwamba ukizoea kula vya wenzako ujue na vyako vinaliwa ama vitaliwa,
toka jana nilitilia mashaka habari hii kwa sababu zifuatazo 1.Tukio limetokea usiku wa kuamkia jana lakini ameleta habari mida ya jana jioni...2.huyu ni mtu mkubwa serikalini tukio la kupigwa kwake hadi jana jioni lazma lingeripotiwa na vyombo vingine vya habari....3.mleta mada hajaeleza kwa kina taarifa hizi kazipata wapi na hakuna mchangiaji mwingine aliyethibitisha.matongo manawa Hivi nitakuwa ninakosa kama nikitilia mashaka ukweli wa hii habari ?, tangu useme utakuja kuleta habari zaidi ni masaa yamepita na hakuna sehemu nyingine yoyote ambapo hii habari imesikika, unaweza uka-confirm ukweli wa habari hii au kama ulipotoka unaweza ukaweka sawa ili watu wasiendelee kupotoka... Ni ombi tu mkuu
Hapo kwenye RED taarifa zilizopo hakuwa na dada yake bali mpenzi wa siri, na unaposema kikao cha harusi saa 7 - 8 una uhakika na hilo tangu lini vikao vya harusi vikafanyika hadi kufikia masaa hayo? TAFAKARI CHUKUA HATUA!Habari nilizozipata punde ni kwamba Yule afisa uhamiaji aliyekoswa koswa na kijana wa marehemu Barlow kwa risasi, usiku wa kuamkia leo alishambuliwa na watu wasiokulikana na kupigwa nondo kichwani.
Afisa huyo kwa sasa amelazwa ktk hosp ya Bugando na Hali yake si nzuri sana.
Ikimbukwe kwamba juzi baada ya kunisurika kuuawa alimtupia lawama afisa wa polisi Abuu kuhusika na mipango Ya kumwua kutokana na kuwa na mahusiano yasiyofaa na mke wake hali iliyopelekea kuwa na Kesi ya kutalakiana.
Lakini pia ikumbukwe kwamba baada ya kulituhumu jeshi La polisi, kamanda Barlow Alipinga na kukanusha tuhuma hizo kwa nguvu zote akidai kuwa aliingia kwenye mtego wa Polisi muda ule ule na gari lile.
Kamanda Barlow aliuawa jana majambazi kwa kupigwa risasi alipokuwa akimrudisha nyumbani dada yake wakitokea kwenye kikao cha harusi Kati ya saa saba na saa nane usiku.
Nitawajuza zaidi.
Nasikia harufu ya MH. L. MashaURI kushinda kiti NECO na kutaka kurudi mjengoni 2015. Dizaini flani ya paving the way!!! All against him should be long gone before 2015.!! Marehemu alikuwa kikwazo kikubwa sana kwake!!! Anyway jst my thoughts. Kama ningekuwa Wenjewe i will double my preacautions.
Jamaa aliposimamishwa alijitambulisha...sasa kama walifananisha gari lakini ikawa siyo mhusika why shoot out...mungu hadhihakiwai ndo maana kamanda kUli imememrudiaHuyo afisa uhamiaji aliingia kwenye mtego wa polisi akanusurika kuuwa kwa mujibu wa marehemu Barlow, marehemu Barlow naye kaingia kwenye mtego wa majambazi but he was less fortunate! R.I.P Kamanda Barlow. Kila muosha huoshwa.
Rais ziarani kesho
Maafisa usalama hebu lishughurikieni jambo hili la Mwanza na matukio mengine kwa umakini vinginevyo ni aibu kwa system nzima.
Police ime-feli, usalama wa taifa nao umefeli?