Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Ndio vijana wa uvccm hao
Mpaka milioni mia sita zinaliwa na ushaidi unataka kupotezwa!Kuna shida kwenye mfumo wa utunzaji na mahesabu nchi hii.Tutafakari na tuchukue hatua.
Mpaka milioni mia sita zinaliwa na ushaidi unataka kupotezwa!Kuna shida kwenye mfumo wa utunzaji na mahesabu nchi hii.Tutafakari na tuchukue hatua.
Recho msangi alihusika kwa asilimia mia moja mkuu. Kwa sababu yeye alikuwa wa mwisho kutoka ofsin. Na kama hausiki alikuja kufanya nini saa nane usiku? Na huyo meena mme wa recho alikuja kufanya nini ofisin kwa mke wake usiku? Wa saa nane? Mimi ninayeandika hii habari nina uhakika na ninachoandka. Nimefanya kazi hapo ofcn temesa vingungut kwa miaka zaid ya mitatu.nikiwa mfanyakaz wa kujitolea. Kwa hiyo nafaham jinsi huyu recho alivyo fisadi mkubwa hapo temesa. Wafanyakazi wa temesa wanamjua huyu dada. Kuwa ni mpigaji mkubwa. Aliwahi kufanya kaz makao.makuu temesa akppiga pesa akahamishiwa vingungut. Mtendaji mkùu wa temesa mama magesa anamlinda recho kwa nguv zote kwa sababu anazozijua ukiwemo ukabila. Pia kuna kigogo wizara ya ujenzi anaitwa dr. Mshama yeye pia ana mkingia kifua recho na inasemekana yeye ndiye aliyemweka hapo. Na ndiyo mana huyu dada anafanya ufisadi bila hof.
Recho msangi alihusika kwa asilimia mia moja mkuu. Kwa sababu yeye alikuwa wa mwisho kutoka ofsin. Na kama hausiki alikuja kufanya nini saa nane usiku? Na huyo meena mme wa recho alikuja kufanya nini ofisin kwa mke wake usiku? Wa saa nane? Mimi ninayeandika hii habari nina uhakika na ninachoandka. Nimefanya kazi hapo ofcn temesa vingungut kwa miaka zaid ya mitatu.nikiwa mfanyakaz wa kujitolea. Kwa hiyo nafaham jinsi huyu recho alivyo fisadi mkubwa hapo temesa. Wafanyakazi wa temesa wanamjua huyu dada. Kuwa ni mpigaji mkubwa. Aliwahi kufanya kaz makao.makuu temesa akppiga pesa akahamishiwa vingungut. Mtendaji mkùu wa temesa mama magesa anamlinda recho kwa nguv zote kwa sababu anazozijua ukiwemo ukabila. Pia kuna kigogo wizara ya ujenzi anaitwa dr. Mshama yeye pia ana mkingia kifua recho na inasemekana yeye ndiye aliyemweka hapo. Na ndiyo mana huyu dada anafanya ufisadi bila hof.
Ushahidi wa uwizi wa Afisa ugavi unakaa ofisi ya Mhasibu?
Sijui kwa nini, hakumshauri vizuri
Katika akili yako,unafikiri huyu alichofanya sio ugaidi?magaidi wanalipua watu,yeye alikuwa anataka kupoteza ushahidi vitu viwil tofauti,ndio maana wachangiaji hawajishughulishi nae ,nchi hii kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.
Afisa ugavi wa wakala wa ufundi na umeme ( TEMESA) iliyo chini ya wizara ya ujenzi, ofisi ya Reginal Manager Vingunguti anayeitwa Recho Msangi, amekamatwa akiwa ametega bomu pamoja na dumu la petroli kwenye ofisi ya mwasibu wa TEMESA Vingunguti kwa lengo la kulipua ofisi hiyo. Recho ambae ni sapply ofisa siku ya Jumapili.
Alibaki ofisini mpaka jioni na akachukua dumu la petroli na kuliweka ofisini kwa mwasibu wake na kutumbukiza uzi mwembambana kwenye hilo dumu. Kisha akautoa huo uzi na kuunganisha kwenye socket ya umeme kitaalam.
Akiwa na maana kuwa usiku pale penye soketi ya umeme pangetokea cheche na ule uzi ungewaka na ungeenda moja kwa moja mpaka kwenye lile dumu lenye petroli na moto ungelipuka.
Lakini kwa bahati nzuri ule moto uliwaka lakini haukufika kwenye dumu ili karakana ilipuke. Ndipo Recho bàada ya kuona imefika saa nane usiku bila mlipuko ndipo alipoamua kwenda hapo ofisini TEMESA Vingunguti akiwa na mume wake wakati huo ni saa tisa usiku.
Wakaanza kuwaomba walinzi wampe ufunguo Lakini walikataa kumpa lakini aliendelea kubembeleza mpaka asubuhi walipoingia watu wa usafi na ishu ikagundulika kwa walinzi na kupiga simu kwa mtendaji mkuu wa TEMESA na mtendaji mkuu akaita polisi Buguruni wakamkamata Recho na kumpeleka polisi.
Inasemekana sababu ya kulipua ofisi amefanya ufisadi wa milion mia sita na hivyo alikuwa analipua hilo bomu kupoteza ushahidi.
Mpaka milioni mia sita zinaliwa na ushaidi unataka kupotezwa!Kuna shida kwenye mfumo wa utunzaji na mahesabu nchi hii.Tutafakari na tuchukue hatua.