Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Migari yoote hiyo thamani yake ni Tsh 197.6M? Kwani wenye ma VX V8 mawili tu si almost wana utajiri mkubwa almost mara 2 ya huyu Mchaga!?
Tukamate wote wenye maprado na ma lendikruza yale makubwa makubwa.
Wakamatwe sababu wamemiliki hayo magari?
Nyie ndio mnaosababisha masikini waonekane wote wana roho mbaya.