MAJANI YA KUNDE
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 213
- 37
Wahuni wanatupeleka wanavyotaka.
Hii ni kama Uganda Museven na ndugu zake ,this is Africa mwisho wa siku yakuharibika ndio tunaanza kuwafahamu.Mie nikisikia neno NGELEJA NAHISI KUTAPIKA.yaani hata mtu akikosea kuitamka gereji nahisikama amesema Ngeleja.