Afisa huyu kalitia aibu Jeshi la Polisi kwa kutelekeza mke na watoto

Status
Not open for further replies.

Mama tuntufye

Senior Member
Feb 14, 2012
131
59
Afisa wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha ASP Amos Aron Mwakajoka aliyehamia Dodoma Central akitokea Kizuiani(OCS) katelekeza mke na watoto watatu line police NASACO block no.8. Hii ndio nidhamu mnayofundishwa?
Au yale maadili mnayoimba katika wimbo wenu "Nikiwa afisa wa police"?

Hili linatusikitisha sana sisi majirani raia tunaoishi nje ya kambi yenu tunapomuona huyu Mama mke wa afisa wa jeshi la police kugeuka ombaomba. Kibaya zaidi hadi watoto hawasomi tena!

Jamani michepuko sio dili bakini njia kuu! Mnawatesa malaika wasiokua na hatia, ndo mnapewaga sijui madawati ya jinsia sasa huyu askari anaweza kutoa huduma gani kwa raia akipatwa na matatizo yanayohusu kutelekeza watoto?

Muwe na aibu nyote wenye hizi tabia!

========

Mwendelezo wa Thread hii, upo hapa=>Ukweli kuhusu habari za Afisa wa Polisi aliyedaiwa kutelekeza familia
 
Afisa wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha ASP Amos Aron Mwakajoka aliyehamia Dodoma Central akitokea Kizuiani(OCS) katelekeza mke na watoto watatu line police NASACO block no.8. Hii ndio nidhamu mnayofundishwa?
Au yale maadili mnayoimba katika wimbo wenu "Nikiwa afisa wa police"?

Hili linatusikitisha sana sisi majirani raia tunaoishi nje ya kambi yenu tunapomuona huyu Mama mke wa afisa wa jeshi la police kugeuka ombaomba. Kibaya zaidi hadi watoto hawasomi tena!

Jamani michepuko sio dili bakini njia kuu! Mnawatesa malaika wasiokua na hatia, ndo mnapewaga sijui madawati ya jinsia sasa huyu askari anaweza kutoa huduma gani kwa raia akipatwa na matatizo yanayohusu kutelekeza watoto?

Muwe na aibu nyote wenye hizi tabia!
Kwa nini usimshauri huyo mama akaripoti kwa boss wa huyo Mume wake
 
Afisa wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha ASP Amos Aron Mwakajoka aliyehamia Dodoma Central akitokea Kizuiani(OCS) katelekeza mke na watoto watatu line police NASACO block no.8. Hii ndio nidhamu mnayofundishwa?
Au yale maadili mnayoimba katika wimbo wenu "Nikiwa afisa wa police"?

Hili linatusikitisha sana sisi majirani raia tunaoishi nje ya kambi yenu tunapomuona huyu Mama mke wa afisa wa jeshi la police kugeuka ombaomba. Kibaya zaidi hadi watoto hawasomi tena!

Jamani michepuko sio dili bakini njia kuu! Mnawatesa malaika wasiokua na hatia, ndo mnapewaga sijui madawati ya jinsia sasa huyu askari anaweza kutoa huduma gani kwa raia akipatwa na matatizo yanayohusu kutelekeza watoto?

Muwe na aibu nyote wenye hizi tabia!
...unaanzisha uzi afu unautelekeza..watu wanabaki kupiga soga tu!
 
Afisa wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha ASP Amos Aron Mwakajoka aliyehamia Dodoma Central akitokea Kizuiani(OCS) katelekeza mke na watoto watatu line police NASACO block no.8. Hii ndio nidhamu mnayofundishwa?
Au yale maadili mnayoimba katika wimbo wenu "Nikiwa afisa wa police"?

Hili linatusikitisha sana sisi majirani raia tunaoishi nje ya kambi yenu tunapomuona huyu Mama mke wa afisa wa jeshi la police kugeuka ombaomba. Kibaya zaidi hadi watoto hawasomi tena!

Jamani michepuko sio dili bakini njia kuu! Mnawatesa malaika wasiokua na hatia, ndo mnapewaga sijui madawati ya jinsia sasa huyu askari anaweza kutoa huduma gani kwa raia akipatwa na matatizo yanayohusu kutelekeza watoto?

Muwe na aibu nyote wenye hizi tabia!
Idara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya jamii INA kazi gani mpaka uanze kulalamika humu ...nenda toa taarifa kwenye taasisi hizo jumatatu asubuhi halafu utuletee mrejesho
 
Status
Not open for further replies.
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom