Mama tuntufye
Senior Member
- Feb 14, 2012
- 131
- 59
- Thread starter
- #41
Si hua mnajiita usalama wa raia na mali zake yeye kashindwa kuwapa Usalama watu wa nyumba yake! kibaya zaidi watoto wanaelekea kukosa elimu.Kwani mambo ya ndani na upolisi wa mtu kuna uhusiano gani?
Nasikia wapo washkaji zake kibao wanakuja kumtetea, mteteeni tu ila hadi Magu aione hii!