mkunyegere
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 453
- 92
Hayo ni mambo binafsi ya mtu
Ahahahaha nacheka kama mazuri mweeehInawezekana mama ni pasua kichwa nadhani hoja nzuri ni kumtaka poti ahudumie watoto wasio kuwa na hatia ingawa huwezi kujua labda watoto wana uwalakini ndo maana poti katelekeza wote.
Basi sawa!Hayo ni mambo binafsi ya mtu
Wakati huu ambao anajiandaa kurudia familia yake kwa nini asitume hela ya mahitaji anaacha familia yake inaadhirika?
Sijui wanawake tuliwakosea nini?Punguzeni hasira kwa wakinamama
Afisa wa Jeshi la Polisi mwenye cheo cha ASP Amos Aron Mwakajoka aliyehamia Dodoma Central akitokea Kizuiani(OCS) katelekeza mke na watoto watatu line police NASACO block no.8. Hii ndio nidhamu mnayofundishwa?
Au yale maadili mnayoimba katika wimbo wenu "Nikiwa afisa wa police"?
Hili linatusikitisha sana sisi majirani raia tunaoishi nje ya kambi yenu tunapomuona huyu Mama mke wa afisa wa jeshi la police kugeuka ombaomba. Kibaya zaidi hadi watoto hawasomi tena!
Jamani michepuko sio dili bakini njia kuu! Mnawatesa malaika wasiokua na hatia, ndo mnapewaga sijui madawati ya jinsia sasa huyu askari anaweza kutoa huduma gani kwa raia akipatwa na matatizo yanayohusu kutelekeza watoto?
Muwe na aibu nyote wenye hizi tabia!
Na mimi nashangaa, jinsi wakina mama mlivyo watamu kama asali hata sababu ya ugomvi siioniSijui wanawake tuliwakosea nini?
Hayo sio mambo binafsi ya mtu, ikiwa imefikia hatua hata watoto hawaendi shule. Ustawi wa jamii ni kazi ya jamii nzima. Kaa nafasi ya wale watoto wasiojua nini kinaendelea.Mama tuntufye Hayo ni mambo binafsi ya mtu
Usimhukumu maana hujasikia upande wake.....Wakati huu ambao anajiandaa kurudia familia yake kwa nini asitume hela ya mahitaji anaacha familia yake inaadhirika?
Hiyo hukumu inasemaje?Usimhukumu maana hujasikia upande wake.....
Hakuna justification ya kutelekeza watoto, hata kama utasikia upande wake!Hiyo hukumu inasemaje?
Nipe namba ya huyo mke wakeWakati huu ambao anajiandaa kurudia familia yake kwa nini asitume hela ya mahitaji anaacha familia yake inaadhirika?
Ngoja nikutafutie.Nipe namba ya huyo mke wake
Muombe mtoa mada mimi simjui huyo mama wala Mume wakeNipe namba ya huyo mke wake
Ameshanijibu mkuuMuombe mtoa mada mimi simjui huyo mama wala Mume wake
CC: Mama tuntufye
Powa, msaidieni huyo mama na watoto wakeAmeshanijibu mkuu
Uwenda unazungumzia polisi wa kabla ya uhuru....si umesikia Tido alivyokuwa anabwabwaja mdomo eti kwa nini polisi wawe na Magari mazuri.......Tatizo unaishi maisha ya kukalili sana..Polisi wenyewe ni kama makondoo wa CCM. Maisha yao ni kama kunguru. Mishahara njiwa.
Kwani mambo ya ndani na upolisi wa mtu kuna uhusiano gani?