Afisa utumishi wilayani Mafia, Ngd. Kimaro, amekuwa ni kero kubwa kwa wafanyakazi

Status
Not open for further replies.

wa hapahapa

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
7,454
4,376
Afisa utumishi wilayani Mafia, Ngd. Kimaro umekuwa ni kero kubwa kwa wafanyakazi na taasisi unayofanyia kazi , inasikitisha sana pia bosi wako Mkurugenzi kushindwa kukuchukulia hatua zozote stahili kwa mambo unayofanya ya Uonevu, Matumizi mabaya ya madaraka na kujari maslahi binafsi na upendeleo kazini.

Tokea ulivyotoka chuo mwaka jana hadi leo umesababisha kuwepo kwa matabaka ndani ya taasisi unayofanyia kazi wapo wanaojiita wenye halmashauri (wakuu) na wengine wasio na tija japo wote ni wajiriwa wa taasisi hiyohiyo moja. Je hii ni moja ya RESEARCH YAKO ? kuleta migogoro


Tokea ulivyotoka chuo hadi june 2013, umesimamia usimamishwaji wa wafanyakazi wanne, ikiwa watatu ulitumia nafasi uliyonayo moja kwa moja kwa kuwandamiza watumishi kwa kutumia madaraka vibaya na uonevu wako binafsi.

Mtumishi aitwaye Abdalah kwa kosa la wizi wa kingamuzi ulihakikisha suala hili linamfikisha Mahakamani kijana huyo kwa nia yako binafsi pengine suala hili lingeishia ofisini tu. Tatizo unaendelea kuitia hasara taasisi yako kwakuwa mtumishi huyo bado kasimamishwa kazini ingawa tayari ameshalipa kifaa hicho mahakamani na kesi kuisha. Nia yako ni KUWAKOMOA wafanyakazi wasiokupa rushwa.


Mtumishi aitwae Lusinde, huyu April 2013 uliamua kumpeleka polisi kwa chuki zako binafsi na kwa sababu zako binfsi au maslahi uliyohaidiwa baada ya kumsimamisha kazi kijana huyo. Kijana huyo kwa sasa umehakikisha hadi kusimamishwa kazi kwake pasipo na hoja ya msingi. Inashangaza kuona badala ya kuwa msaada sasa unazidi kuwa tishio kwa wafanyakazi na kiongozi USIYE NA MSAADA kwa watu waliochini yako.


Inasikitisha kuona umezidi kuwa adui wa haki na wajibu wa watumishi, zaidi unasifika kwa rushwa zilizokithiri na kujifanya bila wewe mambo hayaendi, NI KWAMBA baada ya kuchukua rushwa hili uwapadishe ukuu wa vitengo na miradi watu FulaniFulani hv , sasa unatafuta rushwa kwa nguvu kwa kuonea baadhi ya watu na kuonyesha kama mifano watu hao ili uogopwe na uzidi kuchukua rushwa kwa wengine pasipo kufuatiliwa.

Inasikitisha kuona bosi wako kujua tuhuma zako na kushindwa kukuchukulia hatua za kinidhamu na kuachalia tatizo hili kuzidi kuwa kubwa.


Yupo mtumishi aitwae Chengula huyu kwa kuwa mkuu wake wa idara ampendi waziwazi kwa sababu zake binafsi, kwa kushirikiana na wewe ukaamua kumsimamisha kazi pasipo kufuata taratibu za utumishi kinyume na wajibu wako wa kusimamia haki za wafanyakazi. Katika hili UMUHIMI WAKO uko wapi ?


Japo ulikuta jambo la Kyara likiwa Hot ulivyotoka chuo lakini umeshindwa kushauri jambo hili kitaalamu na hadi sasa jambo bado linafukuta ktk taasisi yako.


Kwa faida yako tu, mpango sasa ni kuweka wazi maovu yako yote kabla hujahama kisiwani.

USHAURI : SOMA ALAMA ZA NYAKATI ITAKUSAIDIA
 
Laiti mleta uzi angekuwa bado yupo ningemshauri kitu, lakini kwa kuwa katoweka sina la zaidi.Hata hivyo kama maelezo haya yamekaa kisiasa zaidi bila ya ushahidi wa kitaalam.Mleta uzi; kama una tatizo la kiutumishi; ni PM Nikuelekeze cha kufanya.
 
ikumbukwe kwamba afisa huyuhuyu ndg. Kimaro ktk uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 kama afisa mwandamizi kati ya wale waliochaguliwa kusaidia tume ya uchaguzi alifanya madudu mengi tu ambayo bado yapo ktk uchunguzi lakini watu wengi wanayajua mfano lile la kula fedha za kukodi magari yatakayosaidia tume ya uchaguzi.
kwakuwa hadi sasa hajachukuliwa hatua afisa huyo anajiona yupo juu ya sheria pasipo kufanywa chochote.

nitarudi.
 
Kwenye hiyo halmashauri yenu hakuna vikao vya wakuu wa idara, wakuu wa vitengo, vikao vya wafanyakazi, Baraza la madiwani na kadhalika?
 
Kumbe mtumishi anayeiba, akifikishwa mahakani, analipa kile alichoiba kisha mahakama inamuachia!
Nilikuwa sijuhi hili!

hapana
kesi hiyo ni sawa na kusababisha upotevu ambayo ni Quere ya kiutendaji tu na si wizi. tatizo hapo kwamba ofisi ya utumishi ilishindwa kuamua hadi kuipeleka polisi then mahakamani ambako mtuhumiwa kwa woga wa kesi na kufukuzwa kazi akaamua kulipa ili yaishe...........
 
Kwenye hiyo halmashauri yenu hakuna vikao vya wakuu wa idara, wakuu wa vitengo, vikao vya wafanyakazi, Baraza la madiwani na kadhalika?

kama vile nilivyoeleza hapo awali huyu Afisa anakumbatiwa na wachache ambao wanampa kichwa ngumu na kuamua kufanya mambo kinyume na taratibu pasipo hata bosi wake kumchukulia hatua.
khs vikao vya wafanyakazi wote ni muda sana havikaliwi ktk taasisi hiyo, pia vitengo/idara chache tu zenye kuitisha vikao idarani mwao na katika vikao vya ngazi ya wilaya vipo lakini havijaweza kumpa maazimio yoyote ya kinidhamu.
 
Kwenye hiyo halmashauri yenu hakuna vikao vya wakuu wa idara, wakuu wa vitengo, vikao vya wafanyakazi, Baraza la madiwani na kadhalika?

kama vile nilivyoeleza hapo awali huyu Afisa anakumbatiwa na wachache ambao wanampa kichwa ngumu na kuamua kufanya mambo kinyume na taratibu pasipo hata bosi wake kumchukulia hatua.
khs vikao vya wafanyakazi wote ni muda sana havikaliwi ktk taasisi hiyo, pia vitengo/idara chache tu zenye kuitisha vikao idarani mwao na katika vikao vya ngazi ya wilaya vipo lakini havijaweza kumpa maazimio yoyote ya kinidhamu.
 
Kimaro ... stil una kes ya tume ya uchaguzi.. na mahakama imetoa hukumu..


kwa nini upo Tamisemi hadi leo!? nani anakupa jeuri!?
 
Takukukuru na vyombo vya usalama mchunguzeni huyu mtu ,kama ni tuhuma za kweli maana anaweza kuhatarisha usalama wa utendaji kazi. pia nawashauri kuandika barua kwa katibu tawala mkoa ,cc kwa kamanda wa takukuru wilaya na mkoa,ofisi ya usalama wilaya na mkoa.ili achukuliwe hatua za kinidhamu huyo ni mtu mdogo sana kiutendaji
 
Laiti mleta uzi angekuwa bado yupo ningemshauri kitu, lakini kwa kuwa katoweka sina la zaidi.Hata hivyo kama maelezo haya yamekaa kisiasa zaidi bila ya ushahidi wa kitaalam.Mleta uzi; kama una tatizo la kiutumishi; ni PM Nikuelekeze cha kufanya.

usinitafute ktk private mesej...

ni nani hajui.. madudu waliyofanya wakina kimaro..

lastly.. kimaro alihukumiwa yy na mweka hazina, na cashier...

hao hawakutakiwa kuwepo Tamisemi.....
 
Takukukuru na vyombo vya usalama mchunguzeni huyu mtu ,kama ni tuhuma za kweli maana anaweza kuhatarisha usalama wa utendaji kazi. pia nawashauri kuandika barua kwa katibu tawala mkoa ,cc kwa kamanda wa takukuru wilaya na mkoa,ofisi ya usalama wilaya na mkoa.ili achukuliwe hatua za kinidhamu huyo ni mtu mdogo sana kiutendaji


nitakupa mrejesho ...
 
mkikwama,nitafuteni ataondolewa mara moja hapo kama mkurugenzi kamshindwa
 
Afisa utumishi wilayani Mafia, Ngd. Kimaro umekuwa ni kero kubwa kwa wafanyakazi na taasisi unayofanyia kazi , inasikitisha sana pia bosi wako Mkurugenzi kushindwa kukuchukulia hatua zozote stahili kwa mambo unayofanya ya Uonevu, Matumizi mabaya ya madaraka na kujari maslahi binafsi na upendeleo kazini.

Tokea ulivyotoka chuo mwaka jana hadi leo umesababisha kuwepo kwa matabaka ndani ya taasisi unayofanyia kazi wapo wanaojiita wenye halmashauri (wakuu) na wengine wasio na tija japo wote ni wajiriwa wa taasisi hiyohiyo moja. Je hii ni moja ya RESEARCH YAKO ? kuleta migogoro


Tokea ulivyotoka chuo hadi june 2013, umesimamia usimamishwaji wa wafanyakazi wanne, ikiwa watatu ulitumia nafasi uliyonayo moja kwa moja kwa kuwandamiza watumishi kwa kutumia madaraka vibaya na uonevu wako binafsi.

Mtumishi aitwaye Abdalah kwa kosa la wizi wa kingamuzi ulihakikisha suala hili linamfikisha Mahakamani kijana huyo kwa nia yako binafsi pengine suala hili lingeishia ofisini tu. Tatizo unaendelea kuitia hasara taasisi yako kwakuwa mtumishi huyo bado kasimamishwa kazini ingawa tayari ameshalipa kifaa hicho mahakamani na kesi kuisha. Nia yako ni KUWAKOMOA wafanyakazi wasiokupa rushwa.


Mtumishi aitwae Lusinde, huyu April 2013 uliamua kumpeleka polisi kwa chuki zako binafsi na kwa sababu zako binfsi au maslahi uliyohaidiwa baada ya kumsimamisha kazi kijana huyo. Kijana huyo kwa sasa umehakikisha hadi kusimamishwa kazi kwake pasipo na hoja ya msingi. Inashangaza kuona badala ya kuwa msaada sasa unazidi kuwa tishio kwa wafanyakazi na kiongozi USIYE NA MSAADA kwa watu waliochini yako.


Inasikitisha kuona umezidi kuwa adui wa haki na wajibu wa watumishi, zaidi unasifika kwa rushwa zilizokithiri na kujifanya bila wewe mambo hayaendi, NI KWAMBA baada ya kuchukua rushwa hili uwapadishe ukuu wa vitengo na miradi watu FulaniFulani hv , sasa unatafuta rushwa kwa nguvu kwa kuonea baadhi ya watu na kuonyesha kama mifano watu hao ili uogopwe na uzidi kuchukua rushwa kwa wengine pasipo kufuatiliwa.

Inasikitisha kuona bosi wako kujua tuhuma zako na kushindwa kukuchukulia hatua za kinidhamu na kuachalia tatizo hili kuzidi kuwa kubwa.


Yupo mtumishi aitwae Chengula huyu kwa kuwa mkuu wake wa idara ampendi waziwazi kwa sababu zake binafsi, kwa kushirikiana na wewe ukaamua kumsimamisha kazi pasipo kufuata taratibu za utumishi kinyume na wajibu wako wa kusimamia haki za wafanyakazi. Katika hili UMUHIMI WAKO uko wapi ?


Japo ulikuta jambo la Kyara likiwa Hot ulivyotoka chuo lakini umeshindwa kushauri jambo hili kitaalamu na hadi sasa jambo bado linafukuta ktk taasisi yako.


Kwa faida yako tu, mpango sasa ni kuweka wazi maovu yako yote kabla hujahama kisiwani.

USHAURI : SOMA ALAMA ZA NYAKATI ITAKUSAIDIA
Abdalah mwizi hujasema umejuaje kama ni mwizi kweli? Kimaro afisa utmishi mkandamizaji na mla rushwa mkubwa hujasema umejuaje? Kama unanjia uliyokusadia kujua afisa utumishi anatumia vibaya madaraka wasaidie pccb kujua wamkamate? Katokana ulivyoandika ni rahisi sana sana kujua kuwa wewe ni mfanyakazi kibaka ndo maana unamchukia afisa utumishi period
 
Abdalah mwizi hujasema umejuaje kama ni mwizi kweli? Kimaro afisa utmishi mkandamizaji na mla rushwa mkubwa hujasema umejuaje? Kama unanjia uliyokusadia kujua afisa utumishi anatumia vibaya madaraka wasaidie pccb kujua wamkamate? Katokana ulivyoandika ni rahisi sana sana kujua kuwa wewe ni mfanyakazi kibaka ndo maana unamchukia afisa utumishi period
Abdalah mwizi hujasema umejuaje kama ni mwizi kweli? Kimaro afisa utmishi mkandamizaji na mla rushwa mkubwa hujasema umejuaje? Kama unanjia uliyokusadia kujua afisa utumishi anatumia vibaya madaraka wasaidie pccb kujua wamkamate? Katokana ulivyoandika ni rahisi sana sana kujua kuwa wewe ni mfanyakazi kibaka ndo maana unamchukia afisa utumishi period


acha kutetea uovu...
 
Abdalah mwizi hujasema umejuaje kama ni mwizi kweli? Kimaro afisa utmishi mkandamizaji na mla rushwa mkubwa hujasema umejuaje? Kama unanjia uliyokusadia kujua afisa utumishi anatumia vibaya madaraka wasaidie pccb kujua wamkamate? Katokana ulivyoandika ni rahisi sana sana kujua kuwa wewe ni mfanyakazi kibaka ndo maana unamchukia afisa utumishi period


wewe utakuwa umetumwa au unataka kubadilisha nyeusi kuwa nyeupe....

huyo Kimaro ni kero, na anapaswa kuwa magereza. nakutumia link... usome upuuz wake.
 
wewe utakuwa umetumwa au unataka kubadilisha nyeusi kuwa nyeupe....

huyo Kimaro ni kero, na anapaswa kuwa magereza. nakutumia link... usome upuuz wake.
Yawezeka kimaro ni kero kweli lakini ukumbuke kuwa mimi sipo hapo ulipo wewe hayo unayosema usitake mimi niamini tuu kuwa ni kweli bila maelezo yenye ushahidi usio tia shaka mimi siyo machanical mimi ni rational human being?
 
wewe utakuwa umetumwa au unataka kubadilisha nyeusi kuwa nyeupe....

huyo Kimaro ni kero, na anapaswa kuwa magereza. nakutumia link... usome upuuz wake.
Halafu kitendo cha kusema kuwa nimetumwa nacho ni ushahidi kuwa wewe hayo unayosema kuhusu kimaro si ya kweli. Hii ni kwa sababu hata mimi unanisingizia kwa dunia kuwa kimaro kanituma unashida fulani hivi ya ubongo? Uliishia darasa la ngapi? Chuo ulichosoma kinatakiwa kifungwe mara moja?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom