Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Vipi mbio bado zipo mkuu?Katika hali ya kushangaza Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema wamejiweka vizuri na mechi ya kesho katika mbio za kutwaa ubingwa wa VPL.
Ameeleza hayo akihojiwa na Azam Sports leo wakati Yanga ikifanya mazoezi kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya KMC.
Nasema hali ya kushangaza kwa sababu ili Yanga ichukue ubingwa inabidi Simba SC afungwe mechi 7 huku Yanga SC ikifunga mechi zote 15 zilizosalia.
My Take:
Wasemaji wa Yanga wawe wanapewa karatasi wasome mbele ya media, wanaropoka sana.
Hili mbumbumbu liliwafaa sana,Heshima kwa Rage popote alipo na ni Alhaj hawezi kudanganyaHawa ndugu zetu Mikia akili zao wanazijua wenyewe na mpira hawaujui ndio maana Rage aliwapa lile jina lao maarufu.
Unaweza ukawa kichaa, usijijue ka wewe ni kichaaHili mbumbumbu liliwafaa sana,Heshima kwa Rage popote alipo na ni Alhaj hawezi kudanganya
Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo. Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa Mikia lazima uwe mbumbumbu, wewe na Bumbuli nani anaropoka? Kwenye soka lolote linaweza tokea ndio maana timu zinapambana hadi dakika ya mwisho.
Ulitaka afungwe vingap mnyama ili aridhiki?
Mshaota sugu nyie kwenye nanilihuuuu kimoja hamridhiki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani tumejenga heshima kwa kumuua mnyama,lakini Hawa watoto wa kinondoni kwanini wametuharibia sherehe yetu?Nguvu mlioitumia tarehe 8 kumfunga simba mngeitumia kwenye mechi zote hivi mshatangaza ubingwa.. we utoe sare nne mfululizo kisha ulalamike simba anabebwa. Yani nyie mnashangaza kweli
Hawajaharibia sherehe huo ndo uwezo wenu ile tarehe 8 walicheza wagangaMtaani tumejenga heshima kwa kumuua mnyama,lakini Hawa watoto wa kinondoni kwanini wametuharibia sherehe yetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jamaa halinaakili kbsa chchte a anachosema Manara lina amin...mdomo mtupu mpira halijui
-
Bado zipo...huwezi kujua Mambo ya Corona.......ligi inaweza kuahirishwa au kufutwa kabisa mwaka huu...kule England vpl imesimamishwa kwa muda...Nina wasiwasi na lichama langu la Liverpool Kama kweli tutachukua ubingwa baada ya miaka 30....fikiria Kama michuano hi itafutwa mwaka huu...
mimi na huyu nani hana akili?
hebu weka hizo hisabati hapo ututoe nishaiNyie mikia wa ajabu Sana...bumbuli amesema ubingwa bado upo wazi Sasa Cha ajabu Nini.??!! Hesabu bado hazijaipa Simba ubingwa mpaka Sasa....
Dah......Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo. Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂🤣Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo. Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.
Sent using Jamii Forums mobile app