Hivi walimu mbona serikali ya CCM inawachezea Sana? Kila baada ya miaka kumi mnadhalipishwa kwa kunaswa makofi.
Mishahara hamuongezewi, mikutano ya CCM mnalazimishwa kuhudhuria, makofi mnapigwa kwa kisingizio cha 'hapa kazi tu.'
Kwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi nyote kwa pamoja semeni NO to CCM
Mishahara hamuongezewi, mikutano ya CCM mnalazimishwa kuhudhuria, makofi mnapigwa kwa kisingizio cha 'hapa kazi tu.'
Kwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi nyote kwa pamoja semeni NO to CCM