Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,088
hawa watu wa HAI sasa wanazidi kwa majunguMwalimu hata uandishi wako unatia mashaka.
Kama kweli mwalimu unaandika hivi. Je watoto wetu unawafundishaje?
Kuna haja ya kuwachunguza hata walimu wa aina yako. Lazima na wewe ni tatizo.
Huwa nasikitika sana na kuwahurumia watoto nikiona walimu wa aina yako, uandishi wako tu unaonesha hauko makini na shughuli zako.
Binafsi natilia shaka malalamiko yako baada ya kushindwa kujibu hoja za wachangiaji wanaoonesha kumfahamu vema huyo afisa elimu.
Kama hoja yako ni ya kweli mbona huelezei mazingira ya kuonesha uhalisia wa tuhuma zako.
Ndugu Imma Kimaro na Zakayo Mosha inaonesha wanamfahamu huyo afisa na wameomba justification lakini unazunguka zunguka tu kujustify.
Wewe utakuwa na mgogoro binafsi na unataka kumchafua huyo afisa.
ukiangalia Mada nzima ni watu wawili au watatu wanachangia Mada kwa kumjibu Kibogoyo
huenda huyo afisa Elimuanasaidiwa au anawalipa IMMA KIMARO na Zakayo Mosha
kifupi UALIMU wa shule za msingi ni wa akili za ktoto, kwanini wasitafute kazi nyingine kuliko kushida kwenye mitandao na kuacha kusahihisha madaftari?
HAI: Mwalimu awekwa rumande kwa kushindwa kuandika jina la Mkuu wa Wilaya
nashauri Afisa Elimu ahamishwe si lazima ang'ang'anie Hai aende hata Rombo ili hapo Hai awaachie hao Wachagga