Godlisten Masaki
New Member
- Aug 1, 2018
- 4
- 0
Hakika ninamshangaa sana anayemtuhumu Afisaelimu Msingi Siha. Ukweli ni kuwa tuhuma zimejaa uongo/uzushi usio na maana. Unaandika ukijua mtihani was drs LA saba umekaribia. Yaelekea una agenda ya kuangusha matokeo ya mwaka huu.Jipime na usali kwa Mungu wako kwani uongo huo utakugharimu mbele za Mungu na wanadamu pia,pengine hata kizazi chako