malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
Afisa elimu kataa kusainisha hundi za motivation kwa shule iliyofaulisha sana na kusema utampaje mwalimu laki mbili na nusu atanywea pombe zote. Je, kwa maafisa elimu kama hawa elimu itapanda kweli? na pesa zilizotolewa na serikali zilitolewa kama motivation kwa walimu kwa shule zilizofaulisha je tujiulize
.
maana ya motivation ..acording to bussiness dictionary Motivation is Internal and external factors that stimulate desire and energy in people to be continually interested and committed to a job, role or subject, or to make an effort to attain a goal.
Motivation results from the interaction of both conscious and unconscious factors such as the (1) intensity of desire or need, (2) incentive or reward value of the goal, and (3) expectations of the individual and of his or her peers. hiyo ni maana ya motivation je hawa maafisa elimu wana elimu gani (au ya kuunga unga ) kiasi kwamba hawajui motivation maanake ? MAAFISA ELIMU NI JIPU KUBWA SANA WALIPEWA UAFISA ELIMU KWA RUSHWA KWA HONGO ILI WAPEWE CHEO HICHO
.
maana ya motivation ..acording to bussiness dictionary Motivation is Internal and external factors that stimulate desire and energy in people to be continually interested and committed to a job, role or subject, or to make an effort to attain a goal.
Motivation results from the interaction of both conscious and unconscious factors such as the (1) intensity of desire or need, (2) incentive or reward value of the goal, and (3) expectations of the individual and of his or her peers. hiyo ni maana ya motivation je hawa maafisa elimu wana elimu gani (au ya kuunga unga ) kiasi kwamba hawajui motivation maanake ? MAAFISA ELIMU NI JIPU KUBWA SANA WALIPEWA UAFISA ELIMU KWA RUSHWA KWA HONGO ILI WAPEWE CHEO HICHO