ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,274
- 22,008
Nani ataendesha ilo dude......Maafisa wa uwanja wa ndege wote walishasepa, hapo hakuna wa kukuuliza tiketi wala passport, ni nguvu zako tu kudandia.
Nani ataendesha ilo dude......Maafisa wa uwanja wa ndege wote walishasepa, hapo hakuna wa kukuuliza tiketi wala passport, ni nguvu zako tu kudandia.
Nani ataendesha ilo dude......
Wamepelekwa UgandaWazee wa fursa wakiona marekani ileeeee.
Hivi unadhani USA wataruhusu hao watu kuingia nchini kwao? Hao wataachwa hapo hapo Qatar wapige vibarua.
Sawa sawa mkuu.Naenda,lkn kwenda huko sio ishu kivile kiasi Cha wenye Nchi yao kukomplikate Mambo.
Oho, kulingana na wewe ni sawa kabisa mkuu.Wamepelekwa Uganda
Kwenye vita utakumbuka kama kuna Covid-19 thubutuSioni hata mmoja aliyevaa barakoa
Ni kweli sio masiharaOho, kulingana na wewe ni sawa kabisa mkuu.
Oho, kulingana na wewe ni sawa kabisa mkuu.
Wakifika huko wataanza kuandamana kudai dini yao itawaleAisee, kumbe wanazipenda nchi za kikafiri namna hii? Dini ya haki! 😂
Fake, photoShop,Baada ya kushuhudia Waafghanistan wakijaribu kudandia ndege ya Jeshi la Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Khamid Karzai mjini Kabul jana, Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetoa picha inayoonesha watu 640 wakiwa ndani ya ndege yake ya kijeshi.
Idadi hiyo ya watu inatajwa kuwa zaidi ya mara tano ya uwezo wa ndege hiyo kubeba abiria na moja ya idadi kubwa zaidi kuwahi kubebwa katika ndege hiyo aina ya Boeing C-17 Globemaster III. Waliofanikiwa kuingia ndani ya ndege hiyo walitumia mlango ambao haukufungwa vizuri wakati ndege hiyo ikiwa katika uwanja wa ndege mjini Kabul.
Wizara ya Ulinzi ya Marekani imeripoti kuwa haikuwa na mpango wa kuwabeba watu hao, lakini ililazimika kutokana na vurugu zilizotokea katika uwanja wa ndege jana. Inaripotiwa kuwa watu wawili wamefariki baada ya kuanguka kutoka kwenye ndege hiyo.
Kujaa kwa watu katika Uwanja huo wa Ndege kulitokana na taarifa za uzushi kusambaa awali Mjini Kabul kuwa Jeshi la Marekani linatoa usafiri wa bure kuwapeleka wananchi wa Afghanistan kwenda Marekani na Kanada, ndipo mamia ya watu walipovamia uwanja huo wakijaribu kupata usafiri huo wa bure na kuyaokoa maisha yao kutoka kwa Wataliban.
Waliofanikiwa kupanda ndege hiyo - wakiwamo wanawake na watoto wachanga - wamefanikiwa kutua salama nchini Qatar.
Wapiganaji wa Taliban wamefanikiwa kuchukua udhibiti wa Mji Mkuu na mipaka ya nchi. Uwanja huo wa ndege ndio sehemu pekee iliyo chini ya udhibiti wa Jeshi la Marekani.
Chanzo: Guardian US
View attachment 1895144
Hii ni kwa muda tu ili kutuliza hali ya mambo. Wakianza kuweka zile sharia zao hutaona hao female Journalist kitaani. Ni mwendo wa kukaa ndani tu na ukitoka lazima uvae nguo zenye chekecheke.Female journalists returned to work on the second day of the Taliban rule. So far, women are seen conducting live broadcasts from the streets of Kabul. Traffic is back to normal and Taliban is patrolling the streets. People are going back at work. https://t.co/EoEdUNykBM
Wapo tazama hapo mbele kidogoSioni hata mmoja aliyevaa barakoa
Hapo watu wameacha waume, wake na watotoKabisa,sio barakoa tu,hata kuvaa unaweza kupanda na nguo za kazi
Hiyo ndege inabeba mizigo mingi kuliko abiria,Hiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake
Na rubani akakubali na ikapaa du
Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa
Hiyo ilipeleka wanajeshi elfu 5 ambao walienda kusaidia usalama wa wanadiplomasia wanaoondoka Afghanistan. Sasa wakati inondoka ndio hao raia wakaomba liftHiyo haikwenda kuchukua wanajeshi ilienda beba diplomat people ila walichokutana nacho sasa
Ni ndege ya jeshi mkuu!..MARA TANO ZAIDI NA PIPA LIKANYANYUKA BILA SHIDA!!! SIPATI PICHA!!
Dini nyingine za hovyo sana!Hii ni kwa muda tu ili kutuliza hali ya mambo. Wakianza kuweka zile sharia zao hutaona hao female Journalist kitaani. Ni mwendo wa kukaa ndani tu na ukitoka lazima uvae nguo zenye chekecheke.
View attachment 1895984
Mkuu hii ni C 17 Globemaster. Ina uwezo wa kubeba mzigo mpaka tani 77 sasa sijui hao raia 600 kama wanafikia hata nusu ya huo uzitoHiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake
Na rubani akakubali na ikapaa du
Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa
Hawana tofauti na chama cha majambazi aka ccmDini nyingine za hovyo sana!
Hapo huwezi kusikia waislamu wakilaani hatua za hovyo kama hizi