Afghanistan: Meya wa Kabul azuia Wanawake wanaofanya kazi Manispaa kwenda kazini

Sometimes Huwa najiuliza. Angalieni Nchi Ambazo wanawake Wapo Huru sana zilivyoharibika Kimaadili na Dhambi Ndizo zinakuwa Nyingi kupitiliza

Sometimes najuliza Why hata Mungu akuwaoa Nafasi Sana Hawa Viumbe katika Kazi Zake
Umeandika kitu gani sasa..!!
 
Dini ya hamani iyo katika kuheshimu haki za wanawake😀😀😀😀😀
 
Hivi mimi uwaga najiuliza kama mwanamke hana mume hafu ni yatima ukimzuia kufanya kazi ataishije huko.
 
Back
Top Bottom