Umeandika kitu gani sasa..!!Sometimes Huwa najiuliza. Angalieni Nchi Ambazo wanawake Wapo Huru sana zilivyoharibika Kimaadili na Dhambi Ndizo zinakuwa Nyingi kupitiliza
Sometimes najuliza Why hata Mungu akuwaoa Nafasi Sana Hawa Viumbe katika Kazi Zake