Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Baada ya 31 August 2021 basi mpambano utakuwa ISIS-K na Taliban..
Na inaonesha ni mapema sana Serikali ya Marekani itaitambua rasmi Serikali itayoundwa na Taliban..
Vita kule haitokuja kukoma kabisa..
Ila nimeshangaa jambo moja Kabul ni pazuri kuzidi Dar es Salaam..
Na inaonesha ni mapema sana Serikali ya Marekani itaitambua rasmi Serikali itayoundwa na Taliban..
Vita kule haitokuja kukoma kabisa..
Ila nimeshangaa jambo moja Kabul ni pazuri kuzidi Dar es Salaam..