Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,519
- 12,613
Wakiozeshwa mabikira 7Tangu lini watu wasio na elimu dunia wanaweza endesha serikali..wao wanaweza endesha serikali ya akhera tu.
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiozeshwa mabikira 7Tangu lini watu wasio na elimu dunia wanaweza endesha serikali..wao wanaweza endesha serikali ya akhera tu.
#MaendeleoHayanaChama
Watabakana sanaNchi ilivo na wababe nchi ikiingia gizani si hatari
Kama Afghanistan inazo resources za kung'ang'aniwa na mabeberu then China na Urusi zitawasaidia but kama hazina hizo rasilimali (hasa gas ) then wao watakua walifanya nao biashara ya silaha na sasa hawana maana tena; hi ndio tabia halisi ya mabeberu yaaniChina na urusi wako wapi kuwasaidia
Na upande mwingine unaongozwa na aliyebaka kitoto cha miaka 7Unajibishana wa upande wa walawiti watoto?