Affordable houses for low lncome class

kassamali

JF-Expert Member
Jan 11, 2010
214
40
Wadau mwenye utalamu na mambo haya anaweza kunipa wazo kutokana na mwenendo wa maisha ya Bongo wanavyouona.Kwa mfano mtu unataka kuwekeza kwenye mradi unaoweza kujenga nyumba ambazo ni nzuri kwa watu wenye kipato cha kati na ukaziuza kwa mikopo ya miaka 10 je ni zipi risk zake na hasa nikwekeza kwenye mradi wa nyumba kama 1000.

Je kwa makisio na ktokana na bei za vitu kwa sasa nyumba ya kawaida lakini comfortable inaweza kugharimu kiasi gani kuijenga na hao watu wenye vipato vya kati ni nyumba aina gani wanaweza kuzimudu kwa muda huo wa miaka 10?

Shukrani
 
Huo ni uwekezaji mkubwa. Unahitaji kuwaona wataalamu kwa feasibility study.
 
kuna thread ilianzishwa ya ngarama za ujenzi wa nyumba tanzania... icheki hii https://www.jamiiforums.com/habari-...a-ujenzi-nyumba-ya-kawaida-ya-vyumba-3-a.html

na nyingine ilipata uchangiaji zaidi hii hapa: https://www.jamiiforums.com/busines...75026-gharama-za-kujenga-nyumba-tanzania.html

pia angalia hii... https://www.jamiiforums.com/technol...-unaweza-kupunguza-gharama-za-ujenzi-dar.html

pia kuna hii https://www.jamiiforums.com/technol...330-mfumo-wa-ujenzi-wa-gharama-nafuu-dar.html

JF is a place ambayo almost every topic ilishajadiliwa kwahiyo ushauri tu, tumia search options kwenda kwenye archives utapata mahitaji mengi sana

natumai hizo threads zitakupa mwanga sana kwenye plans zako
 
Wadau mwenye utalamu na mambo haya anaweza kunipa wazo kutokana na mwenendo wa maisha ya Bongo wanavyouona.Kwa mfano mtu unataka kuwekeza kwenye mradi unaoweza kujenga nyumba ambazo ni nzuri kwa watu wenye kipato cha kati na ukaziuza kwa mikopo ya miaka 10 je ni zipi risk zake na hasa nikwekeza kwenye mradi wa nyumba kama 1000.

Je kwa makisio na ktokana na bei za vitu kwa sasa nyumba ya kawaida lakini comfortable inaweza kugharimu kiasi gani kuijenga na hao watu wenye vipato vya kati ni nyumba aina gani wanaweza kuzimudu kwa muda huo wa miaka 10?

Shukrani

mkuu... i will advice you to close your eyes and get little fund for conducting an investment appraisal of your project based on specific location of land..., current market condition of housing and including current situation of construction sector
 
Kassamali - nimeanzisha project kama hiyo Mwanza. I started with 1 house, sasa hivi najenga 3 at once. PM me for me information and ideas
 
unazijenga wapi in Mwanza?how much do you sell them for?je ni kwa mkopo au mtu analipa cash :)
Kassamali - nimeanzisha project kama hiyo Mwanza. I started with 1 house, sasa hivi najenga 3 at once. PM me for me information and ideas
 
kwa sasa ni cash, lakini plan kwa baadae ni kukopesha as well. Nasubiri mtaji uongezeke na pia talking to different banks for solution nyingine
 
hivi ile nyumba za jamaa wa MOLADI zimeishia wapi?
Nimeona magari yao mjini kwahiyo nadhani watakua wanajiandaa ku-take off... tatizo lao naona ni ile strategy ya kwenda na institutions kubwa kabla ya kuwa proven kwamba wapo robust.

Given a chance, i would have advised them about demo houses to you professionals under mortgage arrangements badala ya kung'ang'ania jeshi, PPF, PSPF au NSSF
 
Back
Top Bottom