Affiliate Marketer pitieni hapa

Jovanny hm

Member
Jun 5, 2019
31
25
Hi there!,

Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:

1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana kunazingine zinaLimit watu kutoka mataifa fulani kutojiunga)

2. Swala la malipo lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Nikimaanisha malipo yawe yanalipwa kwa payment options zinazokubalika Tanzania au zisizo na usumbufu kama vile Wire Transfer, Western Union, Bitcoin, Payoneer n.k)

3. Pia swala la Website lisiwe changamoto (Nikimaanisha hata kama huna Website ila una Social Media pages na Groups uweze kujiunga).

Iko hivi:
-Nina Telegram Channel (maudhui ni Movies) yenye subscribers 9,554 (9k+). Asilimia 55 ya hao Subscribers ni kutoka Malaysia, 30% nikutoka Indonesia, hizo asilimia zilizobaki ni kutoka Bongo na sehemu zingine duniani.
-Nina Facebook Group lenye Members 3,000(wote waTz)
-Nina Facebook page yenye Subscribers 4,000(Wote WaTz)

Nimefikiria nimeona jamii hiyo hapo juu naweza kuitumia kuniingizia kipato kwasababu nawapa huduma bure so sio mbaya nawao nikiwatumia, hasahasa hao wa Telegram.

Nipende kuomba msaada kwa waTz wanaofanya Affiliate marketing. Huwa mnatumia Sites gani ambazo hazina changamoto nyingi kwa waTanzania kujiunga?....
 
Hizi zipoje hasa
Hizi ni za kuFupisha link na kuwekewa matangazo. Mfano una direct link ya kuDownload movie, unaFupisha hiyo link kwa moja ya kampuni nilizotaja hapo juu na unapewa link mpya ambayo yoyote atakaye bonyeza hyo link atapitishwa kwenye matangazo kabla ya kufikia hiyo movie. Kupitia hayo matangazo na idadi ya watu waliobonyeza hyo link ndipo wewe unatengeneza pesa
 
Hi there!,

Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:

1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana kunazingine zinaLimit watu kutoka mataifa fulani kutojiunga)

2. Swala la malipo lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Nikimaanisha malipo yawe yanalipwa kwa payment options zinazokubalika Tanzania au zisizo na usumbufu kama vile Wire Transfer, Western Union, Bitcoin, Payoneer n.k)

3. Pia swala la Website lisiwe changamoto (Nikimaanisha hata kama huna Website ila una Social Media pages na Groups uweze kujiunga).

Iko hivi:
-Nina Telegram Channel (maudhui ni Movies) yenye subscribers 9,554 (9k+). Asilimia 55 ya hao Subscribers ni kutoka Malaysia, 30% nikutoka Indonesia, hizo asilimia zilizobaki ni kutoka Bongo na sehemu zingine duniani.
-Nina Facebook Group lenye Members 3,000(wote waTz)
-Nina Facebook page yenye Subscribers 4,000(Wote WaTz)

Nimefikiria nimeona jamii hiyo hapo juu naweza kuitumia kuniingizia kipato kwasababu nawapa huduma bure so sio mbaya nawao nikiwatumia, hasahasa hao wa Telegram.

Nipende kuomba msaada kwa waTz wanaofanya Affiliate marketing. Huwa mnatumia Sites gani ambazo hazina changamoto nyingi kwa waTanzania kujiunga?....
Mkuu ni PM and make a deal kama uko tayari kama hutojali
 
Hi there!,

Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:

1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana kunazingine zinaLimit watu kutoka mataifa fulani kutojiunga)

2. Swala la malipo lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Nikimaanisha malipo yawe yanalipwa kwa payment options zinazokubalika Tanzania au zisizo na usumbufu kama vile Wire Transfer, Western Union, Bitcoin, Payoneer n.k)

3. Pia swala la Website lisiwe changamoto (Nikimaanisha hata kama huna Website ila una Social Media pages na Groups uweze kujiunga).

Iko hivi:
-Nina Telegram Channel (maudhui ni Movies) yenye subscribers 9,554 (9k+). Asilimia 55 ya hao Subscribers ni kutoka Malaysia, 30% nikutoka Indonesia, hizo asilimia zilizobaki ni kutoka Bongo na sehemu zingine duniani.
-Nina Facebook Group lenye Members 3,000(wote waTz)
-Nina Facebook page yenye Subscribers 4,000(Wote WaTz)

Nimefikiria nimeona jamii hiyo hapo juu naweza kuitumia kuniingizia kipato kwasababu nawapa huduma bure so sio mbaya nawao nikiwatumia, hasahasa hao wa Telegram.

Nipende kuomba msaada kwa waTz wanaofanya Affiliate marketing. Huwa mnatumia Sites gani ambazo hazina changamoto nyingi kwa waTanzania kujiunga?....
Mkuu jaribu kuangalia hao watu wako wanapendelea hasa nn kama ni movie je wapo tayar kutoa pesa?? coz hizo nchi ni kama bongo ikifka kwenye kulipia kitu wanakuwa nyuma sana but unaweza ukajifunza affiliate marketing zaid kujua namna ya kuwatumia pasipo wao kujua.
kuhusu kampuni ni nying sana but nisingekushaur kama hzo alizosema mdau hapo juu za shorten links coz huwa zina malipo kidogo kidogo mno!!
jaribu kuangalia kwenye makampuni kama Rakuten, CJ, shareasale, ClickBank nk
 
Mkuu jaribu kuangalia hao watu wako wanapendelea hasa nn kama ni movie je wapo tayar kutoa pesa?? coz hizo nchi ni kama bongo ikifka kwenye kulipia kitu wanakuwa nyuma sana but unaweza ukajifunza affiliate marketing zaid kujua namna ya kuwatumia pasipo wao kujua.
kuhusu kampuni ni nying sana but nisingekushaur kama hzo alizosema mdau hapo juu za shorten links coz huwa zina malipo kidogo kidogo mno!!
jaribu kuangalia kwenye makampuni kama Rakuten, CJ, shareasale, ClickBank nk
Asante mkuu,
Ila nilishajaribu kuApply shareasale na ClickBank wakaReject application yangu pia Rakuten ilishindikana kwa kuwa sina website.
 
Asante mkuu,
Ila nilishajaribu kuApply shareasale na ClickBank wakaReject application yangu pia Rakuten ilishindikana kwa kuwa sina website.
affiliate programs nying wanataka website/blog coz ndo wanajua ni njia rahisi kupata views.
 
Hivi skuhiz unaweza post fb shortened links??? Maaana mwanzo ilikuwa inakataaa kabisa aan
 
Hizi ni za kuFupisha link na kuwekewa matangazo. Mfano una direct link ya kuDownload movie, unaFupisha hiyo link kwa moja ya kampuni nilizotaja hapo juu na unapewa link mpya ambayo yoyote atakaye bonyeza hyo link atapitishwa kwenye matangazo kabla ya kufikia hiyo movie. Kupitia hayo matangazo na idadi ya watu waliobonyeza hyo link ndipo wewe unatengeneza pesa
mkuu hii ndiyo ile wanayotumia o2TVseries?
 
Mkuu kama una population kubwa Namna hiyo nikushauri ujiunge na mojawapo ya haya makampuni yanayotoa Huduma ya Affiliate

1. Adfly

Hawa wapo vizuri na ndio ninaotumia kuingiza traffic kwenye blog yangu pia wanalipa vizur minimum withdrawal $5 pia kuna option rahisi za kuweza kuwithdrawal pesa zako.

2. Click Bank japo kuverify account yako huwa wanazingua.
 
Mkuu kama una population kubwa Namna hiyo nikushauri ujiunge na mojawapo ya haya makampuni yanayotoa Huduma ya Affiliate

1. Adfly

Hawa wapo vizuri na ndio ninaotumia kuingiza traffic kwenye blog yangu pia wanalipa vizur minimum withdrawal $5 pia kuna option rahisi za kuweza kuwithdrawal pesa zako.

2. Click Bank japo kuverify account yako huwa wanazingua.
Vipi amazon na allexpres?
 
Mkuu kama una population kubwa Namna hiyo nikushauri ujiunge na mojawapo ya haya makampuni yanayotoa Huduma ya Affiliate

1. Adfly

Hawa wapo vizuri na ndio ninaotumia kuingiza traffic kwenye blog yangu pia wanalipa vizur minimum withdrawal $5 pia kuna option rahisi za kuweza kuwithdrawal pesa zako.

2. Click Bank japo kuverify account yako huwa wanazingua.
Hiyo blog yako inajihusisha na nini?
Kama hutojali unaweza ukaweka na link hapa tujifunze kidogo na pia tukupe support.
 
Hi there!,

Niko hapa kuomba msaada wa platforms za affiliate marketing ambazo zinaweza zikatumiwa na waTanzania nikimaanisha:

1. Swala la kujiunga lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Maana kunazingine zinaLimit watu kutoka mataifa fulani kutojiunga)

2. Swala la malipo lisiwe changamoto kubwa kwa waTanzania. (Nikimaanisha malipo yawe yanalipwa kwa payment options zinazokubalika Tanzania au zisizo na usumbufu kama vile Wire Transfer, Western Union, Bitcoin, Payoneer n.k)

3. Pia swala la Website lisiwe changamoto (Nikimaanisha hata kama huna Website ila una Social Media pages na Groups uweze kujiunga).

Iko hivi:
-Nina Telegram Channel (maudhui ni Movies) yenye subscribers 9,554 (9k+). Asilimia 55 ya hao Subscribers ni kutoka Malaysia, 30% nikutoka Indonesia, hizo asilimia zilizobaki ni kutoka Bongo na sehemu zingine duniani.
-Nina Facebook Group lenye Members 3,000(wote waTz)
-Nina Facebook page yenye Subscribers 4,000(Wote WaTz)

Nimefikiria nimeona jamii hiyo hapo juu naweza kuitumia kuniingizia kipato kwasababu nawapa huduma bure so sio mbaya nawao nikiwatumia, hasahasa hao wa Telegram.

Nipende kuomba msaada kwa waTz wanaofanya Affiliate marketing. Huwa mnatumia Sites gani ambazo hazina changamoto nyingi kwa waTanzania kujiunga?....
Mimi nina Facebook Groups:

1. Tanzania audience ( 44,000 members )

2. East Africa ( 252,000 members )

2. Abroad ( 84,000 members )

Kama kuna mtaalamu ana loophole ya kuepuka facebook spamming PM.

#PaidTask
 
Back
Top Bottom