Shadida Salum
Journalist at JamiiForums
- Sep 11, 2020
- 69
- 104
Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys inatarajiwa kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya fainali za AFCON U-17
Serengeti Boys inayoiwakilisha Tanzania, katika mchezo wa kwanza itakipiga dhidi ya Nigeria siku ya tarehe 14 mwezi huu
Tanzania ipo Kundi B pamoja na timu za Nigeria, Congo na Algeria