Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 823
Habari members wenzangu!!!
Matokeo ya mechi zilizochezwa leo 10/12/2018 kama ifuatavyo.
Morocco 5-4 Ivory Coast
Egypt 4-2 Madagascar
Nigeria 4-2 TANZANIA
Baada ya kupoteza mechi zote tatu katika kundi lake,ikiwa imefungwa 5-2 Libya,kisha 12-2 na Senegal na Leo 4-2 na Nigeria tarehe 10/12/2018,TANZANIA imeyaaga rasmi mashindano hayo yanayoendelea katika mji wa Sharm el Sheikh nchini Misri.
Chanzo Azam TV burudani kwa wote.
Matokeo ya mechi zilizochezwa leo 10/12/2018 kama ifuatavyo.
Morocco 5-4 Ivory Coast
Egypt 4-2 Madagascar
Nigeria 4-2 TANZANIA
Baada ya kupoteza mechi zote tatu katika kundi lake,ikiwa imefungwa 5-2 Libya,kisha 12-2 na Senegal na Leo 4-2 na Nigeria tarehe 10/12/2018,TANZANIA imeyaaga rasmi mashindano hayo yanayoendelea katika mji wa Sharm el Sheikh nchini Misri.
Chanzo Azam TV burudani kwa wote.